Ni tamu kuliko hata ,,,,
Na ndio maana cjakisemaWe ulichotaka kutaka kusema
Hauko sahh
Ungekisema tungeandamanaNa ndio maana cjakisema
Hahaha sw sw mkuu vp lkn kastory unakaonaje?Ungekisema tungeandamana
Haka kastory kanaonyeaha kwamba papuch ina nguvu sana si umeona huyo lusyHahaha sw sw mkuu vp lkn kastory unakaonaje?
Hii ndo imeishia hapo au bado inaendeleaduu kama nn kwenye hizo nyota??? Kuna nyingine ndoa yangu umeshasoma???
Alostos nimesema had alhamisi au hujasoma pages zote