Mzimu uliomtafuna Babu Carlo Ancelotti wamnyemelea Jose Mourinho?

Acheni ujanja ujanja, Mo msimu wa kwanza Man Utd alikuwa wa pili kwenye ligi pamoja na kuchukua Uropa, msimu uliofuata akatimuliwa akiwa wa saba kwenye ligi na akiwa bado yupo UEFA tena akiwa amemfunga Juventus nyumbani. Kuna wachezaji Mo aliwataka hasa kwenye safu ya ulinzi, wachezaji aliowahitaji ni pamoja na Harry McGuire ambaye alisajiliwa baadae. Ila angaalia Ole ndio kapewa karibia kila kitu ambacho Mo alitaka kiwepo, Ole mwenyewe hana dalili ya kubeba kombe lolote kwa sasa lakini club iko tayari kusimama nae, kwa Mo ndani ya msimu mmoja walitaka wabebe makombe yote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Msimu wa kwanza man u,mo alimaliza wa sita acha kutufunga kamba.
 
Aliowasajili

√Pogba,Ibrahimovic,Mhkitaryan(Bundesliga best player),Bailly

Aliowakuta

Herrera (alikuwa on form),Rojo(alikuwa on form),Blind alikuwa poa,Martial alikuwa form,Rooney+Mata+Carrick=Maturity+leadership

Ole anajaribu kuondoa reject na kuanza kupanga karata zake..na sajili zake zimeonyesha ubora kiasi fulani kuliko sajili za Mou..
Nilifikiri unajua mpira. Sasa hicho kikosi kina balance gani hapo? Number 10 ni nani sasa, Mata?. Mikitaryan wa bundesliga unamfananisha na yule aliyeflop Man U na Arsenal pia? Eric Baily baada ya msimu wa kwanza fitnes yake ilikuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliowasajili

√Pogba,Ibrahimovic,Mhkitaryan(Bundesliga best player),Bailly

Aliowakuta

Herrera (alikuwa on form),Rojo(alikuwa on form),Blind alikuwa poa,Martial alikuwa form,Rooney+Mata+Carrick=Maturity+leadership

Ole anajaribu kuondoa reject na kuanza kupanga karata zake..na sajili zake zimeonyesha ubora kiasi fulani kuliko sajili za Mou..
Sajili zipi hizo zenye ubora. Kuacha kumdevelop Dalot na kumnunua Bisaka asiyeweza kukross kisa ana mbio! Maguire ni request ya Jose kama ni mfatiliaji unajua hilo. Fernandes ni baada ya Pogba kumwonesha Ole ngozi yake halisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spurs imejengwa around Son & Kane. Kabla ya Jowzey haikuwahi kushinda mchezo usiomhusisha mmoja kati yao tangu 2014. Jumla ya magoli yao msimu huu ni mengi kuliko wachezaji wengine wote combined.

Hakuna kocha mwingine angekifikisha kikosi cha sasa cha Spurs top six zaidi ya JM. Wachezaji walewale kila mechi kwenye namba zisizo zao bila kupumzishwa (Bergwine, Moura, Le Celso, Gedson, Dele Alli). Mimi nitampima msimu ujao.
Rooney na Carrick hata hawakuwa wakipangwa first eleven..Yupo spurs now..leta mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikosi cha Spurs ujue kilianza kuflop chini ya Pochetino hivyo kuhitaji kusukwa upya, na hata key players waliokuwepo ni majeruhi kwa sasa, tusubiri afanye usajili + majeruhi kupona ndio tumhukumu kwa haki.

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa Pochetino alifukuzwa kwa nini??

Ole mbona naye amekuwa akipata hilo tatizo la majeruhi lakini hujalizungumzia??
 
Nilifikiri unajua mpira. Sasa hicho kikosi kina balance gani hapo? Number 10 ni nani sasa, Mata?. Mikitaryan wa bundesliga unamfananisha na yule aliyeflop Man U na Arsenal pia? Eric Baily baada ya msimu wa kwanza fitnes yake ilikuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
So point yako ni ipi??

Ole ana kikosi kizuri kushinda alichoanza nacho Mourihno OT??
 
Wewe jamaa una utani mbaya, Rooney + Carrick walikuwa wanamalizia pension zao pale ila uwezo wa kupambana ulikuwa umeisha, Erick Bailey na Pogba siku zote spana mkononi kuanzia kipindi cha Mou, Martial matatizo yake ni yale yale kuanzia kipindi cha Mou, tena kuanzia Mou aondoke kipaji cha Lingard kimejifia tu, Mou ni lile baraza la wazee Rooney, Carrick, Ibrahimovich, Sanchez, Valencia na Ashy Young bado alipambana kweli kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom