Mzimu Nyangeta uliopo katika mji mdogo wenye mambo ya kishirikina na utajiri wa kishirikina uitwao Lamadi

Raia walijua ni Chai. Asante kwa Ushuhuda Mkuu
Hii kitu inakaukweli ndani yake japo ni ngumu kuamini ila nimeshaisikia hii story kutoka kwa askari mmoja hivi alikuja kijiweni wakati Mkuu wa polosi alipo ingia Bariadi juu ya hili suala la vifo vya wanawake!

Askari alitupa hadithi ambayo na yeye alishiriki kumpatia kibano kikali huyo jamaa .

Inasemekana jama alienda Bank ya CRB alifanikiwa kuingia pasipo kuonwa na mtu na kuchukua pesa nyingi sana alibeba kwenye Kiloba ,
Sasa wakati anatoka alikosea masharti ambayo yalipelekea kuonekana pindi anatoka nje na alishafanikiwa kutoka ila alichelewa muda !

Yaani mganga alimpa muda wa kufanya tukio ukizidisha tu basi watu watakuona na yeye aliona na askari akiwa nje kasimama anataka kuchukua usafiri nje ya Bank!

Jamaa wakati anasimulia anasema ni kijana mdogo sana! Lakini anautajili wa kufa mtu! Ana nyumba nyingi na nzuri sana !

Sasa wakamuliza huyo mganga anakopatikana na masharti yake.

Alichokisema ni kwamba mganga ana mtoto wa kike kwa hiyo ukieleza shida zako unapewa kulala na huyo bint usiku mpaka asubuhi alafu ndyo unapewa maelekezo mengine namna ya kufanya na ukaenda sehemu yeyote kuchukua pesa pasipo kuonekana na mtu yeyote!

Samahani kwa namna ya uandishi! Ila ni habari za kweli kabisaa!
Mimi nipo Bariadi Town!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kitu inakaukweli ndani yake japo ni ngumu kuamini ila nimeshaisikia hii story kutoka kwa askari mmoja hivi alikuja kijiweni wakati Mkuu wa polosi alipo ingia Bariadi juu ya hili suala la vifo vya wanawake!

Askari alitupa hadithi ambayo na yeye alishiriki kumpatia kibano kikali huyo jamaa .

Inasemekana jama alienda Bank ya CRB alifanikiwa kuingia pasipo kuonwa na mtu na kuchukua pesa nyingi sana alibeba kwenye Kiloba ,
Sasa wakati anatoka alikosea masharti ambayo yalipelekea kuonekana pindi anatoka nje na alishafanikiwa kutoka ila alichelewa muda !

Yaani mganga alimpa muda wa kufanya tukio ukizidisha tu basi watu watakuona na yeye aliona na askari akiwa nje kasimama anataka kuchukua usafiri nje ya Bank!

Jamaa wakati anasimulia anasema ni kijana mdogo sana! Lakini anautajili wa kufa mtu! Ana nyumba nyingi na nzuri sana !

Sasa wakamuliza huyo mganga anakopatikana na masharti yake.

Alichokisema ni kwamba mganga ana mtoto wa kike kwa hiyo ukieleza shida zako unapewa kulala na huyo bint usiku mpaka asubuhi alafu ndyo unapewa maelekezo mengine namna ya kufanya na ukaenda sehemu yeyote kuchukua pesa pasipo kuonekana na mtu yeyote!

Samahani kwa namna ya uandishi! Ila ni habari za kweli kabisaa!
Mimi nipo Bariadi Town!

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuiba bank hela kwa kutumia uchawi...never never never....Bank wanaiba kwa kutumia nguvu, hujuma za wafanyakazi na njia zingine za kijanja kama wizi wa kimtandao lakini sio kichawi...Lamadi ni mji wa hovyo sana, hamna kitu pale kwenda mpak simiyu huko hamna kitu watu ni washirikina sana na hii ni kwa sababu watu wake wengi hawathamini elimu ni poor minded sana...hawajui hata kuwekeza akipata hela ni kujenga nyumba, kununua ng'ombe au kununua Tata za kusafirisha abiria toka Bariadi kuja Mwanza....hilo eneo litabaki kuwa na umaskini wa kutupwa na ufukara mpak watakapothamini Elimu...
 
dah kuna demu mzuri kinyama anaitwa nyangeta nilitaka niapply anti-log sasa naahirisha nisijesaundisha msukule bure!
 
Nimefika pembeni kidogo ya haka kamji ka kibiashara nimekutana stori za kuogofya kuhusu ushirikina. Ni Mwezi uliopita kamanda Kova alidhuru kwenye haka kamji

Kulikua na wimbi la watoto wa kike na akina mama kuuwa na viungo vyao kukatwa, kisha kuvipeleka kwa Waganga ili kujipatia utajiri

Basi Bwana Kova alikuja akatandika mkwara wa kutosha baada ya siku mbili akatinga Mkuu wa Mkoa. Kesho yake zikaingia defender mbili zikaanza kuzoa Waganga wa kienyeji waliopo ndani na nje ya haka kamji

Kuna kijana ni tajiri sana hapo Lamadi nae akazolewa, ndo stori zikaanza kuzagaa kwamba yule kijana ana msukule wa kuitwa Nyangeta Zoa Mapesa

Wanasema uyo Nyangeta ni kama chuma ulete akija dukani kwako akinunua kitu ukimrudishia chenchi ndo pesa zako au mauzo yako yanatoweka, ukimstukia ukitoka nje humkuti

Wanaendelea kusema huyo Nyangeta anakodishwa unakuja umkodi akakufanyie kazi, kwa Mfano unakuja kumkodi unaenda nae Mbeya unakodi chumba yeye kazi yake ni kuzunguka kwenye biashara za watu anakukusanyia pesa

Wanasema babake Nyangeta ni tajiri hatari na huyo kijana alimnunua toka kwa huyo babake Nyangeta. Wadau wanasema Nyangeta aliwaikufa Baadae akaja kuonekana

Wanasema huko Polisi, dogo alipewa kichapo akakiri kuwa na huo msukule na anapesa nyingi sana ndani ila hazionekani. Anasema yeye hamtumi Nyangeta hapo Lamadi kwa sababu hakuna pesa, anamtuma mikoani yenye Pesa

Muwe wavumilivu kwa uandishi na mtiririko wa story, najua JF ina Member kila sehemu wale wa Lamadi hebu shukeni hapa na hiyo stori ya Nyangeta na huo Ushirikina wa Lamadi
Wewe unaleta story za ulongo ili utangaze ushirikina wako wa kitapeli.
Kwanza kova kashastaafu kitambo na kastaafu akiwa kamanda wa kanda maalum Dar.
Kova na Lamadi iliyoko huko Simiyu...pembeni ya mto Lubana na karibu na geti la Ndabaka la kuingilia mbuga ya Serengeti wapi na wapi?
 
Hii kitu inakaukweli ndani yake japo ni ngumu kuamini ila nimeshaisikia hii story kutoka kwa askari mmoja hivi alikuja kijiweni wakati Mkuu wa polosi alipo ingia Bariadi juu ya hili suala la vifo vya wanawake!

Askari alitupa hadithi ambayo na yeye alishiriki kumpatia kibano kikali huyo jamaa .

Inasemekana jama alienda Bank ya CRB alifanikiwa kuingia pasipo kuonwa na mtu na kuchukua pesa nyingi sana alibeba kwenye Kiloba ,
Sasa wakati anatoka alikosea masharti ambayo yalipelekea kuonekana pindi anatoka nje na alishafanikiwa kutoka ila alichelewa muda !

Yaani mganga alimpa muda wa kufanya tukio ukizidisha tu basi watu watakuona na yeye aliona na askari akiwa nje kasimama anataka kuchukua usafiri nje ya Bank!

Jamaa wakati anasimulia anasema ni kijana mdogo sana! Lakini anautajili wa kufa mtu! Ana nyumba nyingi na nzuri sana !

Sasa wakamuliza huyo mganga anakopatikana na masharti yake.

Alichokisema ni kwamba mganga ana mtoto wa kike kwa hiyo ukieleza shida zako unapewa kulala na huyo bint usiku mpaka asubuhi alafu ndyo unapewa maelekezo mengine namna ya kufanya na ukaenda sehemu yeyote kuchukua pesa pasipo kuonekana na mtu yeyote!

Samahani kwa namna ya uandishi! Ila ni habari za kweli kabisaa!
Mimi nipo Bariadi Town!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna uhusiano kati ya kupotea kwa watoto na huyo Nyangeta? au huyo kijana anayechukua pesa benki
 
Hii kitu inakaukweli ndani yake japo ni ngumu kuamini ila nimeshaisikia hii story kutoka kwa askari mmoja hivi alikuja kijiweni wakati Mkuu wa polosi alipo ingia Bariadi juu ya hili suala la vifo vya wanawake!

Askari alitupa hadithi ambayo na yeye alishiriki kumpatia kibano kikali huyo jamaa .

Inasemekana jama alienda Bank ya CRB alifanikiwa kuingia pasipo kuonwa na mtu na kuchukua pesa nyingi sana alibeba kwenye Kiloba ,
Sasa wakati anatoka alikosea masharti ambayo yalipelekea kuonekana pindi anatoka nje na alishafanikiwa kutoka ila alichelewa muda !

Yaani mganga alimpa muda wa kufanya tukio ukizidisha tu basi watu watakuona na yeye aliona na askari akiwa nje kasimama anataka kuchukua usafiri nje ya Bank!

Jamaa wakati anasimulia anasema ni kijana mdogo sana! Lakini anautajili wa kufa mtu! Ana nyumba nyingi na nzuri sana !

Sasa wakamuliza huyo mganga anakopatikana na masharti yake.

Alichokisema ni kwamba mganga ana mtoto wa kike kwa hiyo ukieleza shida zako unapewa kulala na huyo bint usiku mpaka asubuhi alafu ndyo unapewa maelekezo mengine namna ya kufanya na ukaenda sehemu yeyote kuchukua pesa pasipo kuonekana na mtu yeyote!

Samahani kwa namna ya uandishi! Ila ni habari za kweli kabisaa!
Mimi nipo Bariadi Town!

Sent using Jamii Forums mobile app
Tulivyoaminishwa ni kwamba ndumba haifanyi kazi Bank sababu Kuna mazindiko na ulinzi wa wakuu wa majini mle Sasa inakuwaje huyo kidudu-mtu aingie humo kishirikina na kufanya manouver yake?
Mshana Jr ebu ukuje huku utoe ufafanuzi maana wanatuvuruga hawa!!
 
Huwezi kuiba bank hela kwa kutumia uchawi...never never never....Bank wanaiba kwa kutumia nguvu, hujuma za wafanyakazi na njia zingine za kijanja kama wizi wa kimtandao lakini sio kichawi...Lamadi ni mji wa hovyo sana, hamna kitu pale kwenda mpak simiyu huko hamna kitu watu ni washirikina sana na hii ni kwa sababu watu wake wengi hawathamini elimu ni poor minded sana...hawajui hata kuwekeza akipata hela ni kujenga nyumba, kununua ng'ombe au kununua Tata za kusafirisha abiria toka Bariadi kuja Mwanza....hilo eneo litabaki kuwa na umaskini wa kutupwa na ufukara mpak watakapothamini Elimu...
Kwa taarifa yako kuna watu wasomi kuliko hata wewe,suala la ushirikina lipo kila mahali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unaleta story za ulongo ili utangaze ushirikina wako wa kitapeli.
Kwanza kova kashastaafu kitambo na kastaafu akiwa kamanda wa kanda maalum Dar.
Kova na Lamadi iliyoko huko Simiyu...pembeni ya mto Lubana na karibu na geti la Ndabaka la kuingilia mbuga ya Serengeti wapi na wapi?
Typing era,kakosea tu akamtaja kova,ila ujumbe umefika na hiki kitu kipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana hilo suala la kupotea kwa watoto na suala la nyangeta ni vitu viwili tofauti,maana suala la nyangeta lilianza likaisha baada ya wahusika kukamatwa na kupelekwa kituo cha polisi BUSEGA,baadaye liliibuka suala la watoto na akina mama kuuawa,tukumbuke suala kama hili lilianzia njombe,bila shaka mpaka leo hii serikali imeshajua nani NYANGETA NA NANI MUUAJI

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom