Justin Dimee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,146
- 1,225
Kuna miziki imeigia sikuiz sijui inajitaje napo isikiaga sehemu huwa na vurugwa sana lakini saivi ndonashanga imekua pendwa sana mpaka kwenye ma dcm boda boda wanaipenda sanq kilichoimbwa ni cjui madudugani?
IlE YAKWENYE VIGODORO JAMANI??.,
nilipanda mdalala wa mbagala kkoo mpaka nikaomba kushuka nikapanda gar nyingine
sijui wanaimba simba mshabiki wadamu sijui machimbo eriya yani aiseeh ivi vitoto vimetoka wapi jamani wemeharibu sana uzuri wa mziki uki ka kwenye kibaar unapata moja kidogo utasikia yanga mshabiki wadamu mmmmh apana miziki inabadilika but sio uku unapoelekea mbona Nigeria umebadilika nakua international kwa wa tz sijui unaendaje?
IlE YAKWENYE VIGODORO JAMANI??.,
nilipanda mdalala wa mbagala kkoo mpaka nikaomba kushuka nikapanda gar nyingine
sijui wanaimba simba mshabiki wadamu sijui machimbo eriya yani aiseeh ivi vitoto vimetoka wapi jamani wemeharibu sana uzuri wa mziki uki ka kwenye kibaar unapata moja kidogo utasikia yanga mshabiki wadamu mmmmh apana miziki inabadilika but sio uku unapoelekea mbona Nigeria umebadilika nakua international kwa wa tz sijui unaendaje?