Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,080
Wanabodi kuna kanisa moja hapa Wilayani Ruangwa mkoani Lindi Jamaa wamefungua mziki kwa sauti kubwa sana. Nimebaki tu nashangaa hivi wanajisikiaje kufungua mziki kwa sauti kubwa kiasi hiki?
Au Wana furaha gani zaidi ni Bora wangeweka sauti kubwa wakiwa wanahubiri lakini mbaya zaidi wanaweka tu miziki ya Singeli Bongo Fleva na miziki ya Ulaya, Kama hiki kwa kweli siyo vizuri kwa maoni yangu sijui wengine.
.
Shindu Namwaka, Ruangwa Lindi Tanzania muda huu.
Au Wana furaha gani zaidi ni Bora wangeweka sauti kubwa wakiwa wanahubiri lakini mbaya zaidi wanaweka tu miziki ya Singeli Bongo Fleva na miziki ya Ulaya, Kama hiki kwa kweli siyo vizuri kwa maoni yangu sijui wengine.
.
Shindu Namwaka, Ruangwa Lindi Tanzania muda huu.