Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

Na mtoto wa kiume hawezi kuleta mtoto wake kwangu, haiwezekani! Akalelee mtoto wake huko, silei ujinga mie
Rafik yangu alilelewa na shangaz wa baba yake

Baada ya mimba yake kutungwa baba yake hakuonesha ushirikiano na baada ya kuzaliwa na kumaliza miez kadhaa mama yake akaenda kumbwaga kwa Babu yake mzaa baba

Mzee akaweka msimamo kuwa halei mtoto wa mtu kwa hiyo kichanga kikawa hakina msaada

Shangaz wa baba Mtoto baada ya kupigizana kelele nyingi na Babu wa Mtoto kuwa hawapaswi kuitelekeza damu yao lkn Mzee aligoma na mwishowe shangaz wa baba wa Mtoto akaamua kumchukua Mtoto na kumlea

Mungu fundi wahusika wote wa hilo saga wapo hai na mshkaj mungu kamjaalia kipato na familia huku akimchukulia shangaz wa baba yake km mzaz wake pekee



Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Na wakiume wanaolelewa watoto wao kwa wazazi wao nao wakae wakijua inawauma sana wazazi wao!!Tusibaki kuwalaumu wakike tu kwa kuwa hawazai kwa uwezo wa Roho Mtakatifu bali kuna ushiriki wa jinsia Me pia!!!
Hili swala ni pande zote lakini jamii ni kama imepeleka zaidi tuhuma kwa jinsia ya kike Yani mtu akiona kijana wakiume anammendea binti yake anakuwa mkali kwa kumlinda binti asiharibiwe ila mtu huyo huyo akikuta kijana wake wa kiume anammendea binti wa jirani waaala hakatazi anaona sawa

Haya kama yanafanyika jinsia zote zinahusika kwasababu wakike hajiwekei mbegu mwenyewe lazima wakiume awepo japo wakike anauma zaidi kwa wazazi
 
Urafiki wa kawaida tu mambo ya kuficha a Haya unakuwa hujui
Kwan ni muda gani bunt anatakiwa awe na boyfriend?
Urafiki lazima utambulike ni wa aina gani na uwe na mipaka. Hiyo mipaka inahitaji misimamo, hiyo misimamo wahusika wanaipata kwenye makuzi na malezi. Hayo malezi kuyapata kwa sasa nayo ni changamoto. Watoto wanayajua na kuyaanza mambo wakiwa wadogo mno.

Kuna taratibu za kuwa na mtu mpaka kufikia hatua ya kuwa wazazi. Hizi taratibu ndio siku hizi watu hawazifuati na matokeo yake ndio haya, Wanawake wa kizazi hiki wamekua cheap sana sio tu kuwapata, hadi kubeba mimba. Inahuzunisha
 
Ukitaka kuona mzazi anavyoumia na kuaibika ni binti azalie nyumbani. Wazazi wengi huwa wanaumia sana ni basi tuu.
Labda nyie huko bara. Kwetu pwani kuzalia nyumbani hata watoto 10 kila mtu na baba ake wazazi hawana noma.

Kuolewa na kuachika hata mara 50 wazazazi hawaleti noma pia. Ndio maana ukija mtaani kwetu akina Mwajuma, Asha, Chau, Sikuzani wote wanawatoto baada ya kumaliza std 7 mwaka jana na wote hakuna above 18.

Kaka zao pia waliomaliza wote shule akina Dulla, Roja, Beka, Msodoki nao wametia mimba mabinti huko mtaaa wa pili, kazi hawana wanategemea minazi na embe kutoka shamba la wazazi
 
Labda nyie huko bara. Kwetu pwani kuzalia nyumbani hata watoto 10 kila mtu na baba ake wazazi hawana noma.

Kuolewa na kuachika hata mara 50 wazazazi hawaleti noma pia. Ndio maana ukija mtaani kwetu akina Mwajuma, Asha, Chau, Sikuzani wote wanawatoto baada ya kumaliza std 7 mwaka jana na wote hakuna above 18.

Kaka zao pia waliomaliza wote shule akina Dulla, Roja, Beka, Msodoki nao wametia mimba mabinti huko mtaaa wa pili, kazi hawana wanategemea minazi na embe kutoka shamba la wazazi
Balaa
 
Mungu akapate kubariki hizi familia zinazoletewa wajukuu,
Zipate kupata kipato sawa na matakwa yako eeenh Mwenyezi Mungu. Wajukuu walelewe na uwabariki vijana hawa wakatafute na kukumbuka nyumbani, wapate kazi, wapate ridhki, waweze somesha na wajaze vitu nyumbani kwa wazazi wao.
Ikiwezekana ee mwenyezi Mungu wape ridhki waendeleze miji yao na maisha ya watu walio ndani ya miji hiyo.
Na sasa vijana, zalishaneni pelekeni watoto zenu nyumbani mwa baba na mama zenu na mkapate kuwawezesha na mtoke muende kupambana ili nanyi muwe na maisha bora mletewe wajukuuu.
Tuseme amina.
Niletewe mjukuu nyumbani nitamlea kama yai. Kijana wangu akapambane acha nicheze na wajukuu aisee.
 
Mtihani sana siku hizi kisichana kipite miaka 15,16,17,18 bila kubeba ujauzito ni nadra sanaa

Yaani wanapata ujauzito kabla ya kuelewa ujauzito ni nini?

Cha ajabu wanapewa ujauzito na watu wazima yaani wamewapita kupitiliza.
Na tubinti twa hivyo tunapata tu mimba haraka. Vikiguswa tu imo😂😂😂😂
 
Nimehamasika kuanzisha Uzi huu baada ya kusoma Uzi wa mdau analalamika dada zake wote wamezalia nyumbani.

Bila shaka atakuwa na uchungu juu ya Jambo hili na ndivyo ilivyo kwa wazazi wengi wanaolea binti zao na mwisho kupewa majukumu mengine ya kulea wajukuu.

Hili ni tatizo kubwa kwasasa wanawake wanapaswa kujitambua na kujua nyakati zimebadilika na suala la malezi ni jukumu zito. Msichana usipo jitambua ni mzigo kwa wazazi wako.

Naandika haya nikiwa Kama mzazi wakiume. Ninyi mabinti ninani aliyewaloga? Hata hivyo serikali inalojukumu la kuanzisha kampeni za uzazi wa mpango kunusuru mabinti na uchumi wao na wazazi wao
Huo uzi uko wapi mtu anitag
 
Wakiwa huku wanaongea sana
Ooh usioe singo mamaz
Kumbe dada zao ni wale wale tu
Si ndo nnachosema🤣🤣🤣ni wapuuzi hawajielewi wanasimamia nini. Na wao wamezalisha kwengine wakija huku wanatukana single moms ila kila siku yanalia oh mama wa mwanangu hataki nimuone mwanangu. Mi mbona na ubini ningebadilisha
 
Haiwezekani vijana kuacha kufanya ngono, serikali na wadau wengine wanatakiwa wajikite kuwawezesha kufanya ngono salama wale wanaotaka kufanya ngono.

Mpango wa wa Serikali ni ABC
A- Abstain
B- Be faithful
C- Condom

Bahati mbaya sana kwa vijana serikali na jamii huwa zinajikita katika A na kupuuza C. Hili sio jambo zuri.
Cha msingi vijana wetu wa kike na kiume waelekezwe kuacha uzinzi
 
Ni muhimu zaidi pia kuzuia makosa yasiendelee kufanyika, inasikitisha sana watoto kuzaa na kulea watoto wenzao. Hili ni jambo linalozidi kuongeza utegemezi na umaskini mkubwa katika nchi.
Ikishatokea sasa ndo itabidi wakubaliane na hali.

Tuangalie matokeo maana kama makosa washafanya
 
Ukitaka kuona mzazi anavyoumia na kuaibika ni binti azalie nyumbani. Wazazi wengi huwa wanaumia sana ni basi tuu.
Wazazi wengine ndio chanzo hasa wa kike kijana anataka kuoa mashariti kibao pengine mashariti hayo hata huyo mama haya wezi mwisho kuishia kulea wajukuu
 
Back
Top Bottom