Kujifariji kwa post kama hizi ndio kilichobaki kwa miaka mitano ijayo halafu mtapigwa mtama mwingine 2025 halafu muendelee kulialia mpaka akili iwakae sawa.Mlivyo waroho wa madaraka mngeua wandamanaji wote
Wababe wamesha wakatia misaada mmebaki kubana masikini kwenye kodi. Wakizidisha kibano mtanyooka tu.Kujifariji kwa post kama hizi ndio kilichobaki kwa miaka mitano ijayo halafu mtapigwa mtama mwingine 2025 halafu muendelee kulialia mpaka akili iwakae sawa.
Labda wawe wanajifunika wale red brigade na bawachaMkojo wako hauna adabu.
Ktk zile ajira (jumla8M kwa serikali Na sekta binafsi),serikali ina mpango wa kutengeneza ajira ngapi?Hizo za familia zao pia au?
ila 2020 hamutakuisahau aiseeee.. hadi sasa na miavuli ndio mumekimbilia.. dah!!! poleni mi kucheka
Kama haukuhusu ukaushie walengwa tutanunua sana tu.Kama maandamano mligoma,huo mtanunua kweli???
#strongbehindthekeyboardandfakeid
Uzuri mafuta Lita 20 kwa Tsh. 82,000/- ni kwa wote wapenda haki na madhalimu.Kujifariji kwa post kama hizi ndio kilichobaki kwa miaka mitano ijayo halafu mtapigwa mtama mwingine 2025 halafu muendelee kulialia mpaka akili iwakae sawa.
Ahahahaaaa .Hio miavuli inaashiria uvunjifu wa amani ipigwe marufuku