Mzigo mzito mpe mnyamwezi na mgogo

SoNotorious

JF-Expert Member
Sep 11, 2011
2,422
859
CCM ni mzigo mzito ambao haubebeki bila kukuachia maumivu makali ya mgongo lakini hawa ndugu zetu wameubeba kwa miaka takribani 50 bila kutua, nini kifanyike ili kumtoa utumwani mtumwa asiejua kama yuko utumwani wakuu!
 
Wanyamwezi ni natural born watumwa. Waliuzwa utumwani na Mwarabu, wakatumikishwa utumwani. Nyumbani Wanyamwezi ni watumwa kwa wake zao, wao wanajiona wanajua kupenda na kujali.
Kisiasa CCM inawatumikisha na haikuendelezi Tabora. Wanyamwezi amkeni kutoka kwenye utumwa wa fikra, ikataeni CCM
 
Wanyamwezi ni natural born watumwa. Waliuzwa utumwani na Mwarabu, wakatumikishwa utumwani. Nyumbani Wanyamwezi ni watumwa kwa wake zao, wao wanajiona wanajua kupenda na kujali.
Kisiasa CCM inawatumikisha na haikuendelezi Tabora. Wanyamwezi amkeni kutoka kwenye utumwa wa fikra, ikataeni CCM

Tuwasaidie kuwapa somo wataelimika tu. Lawama hazitawafungua macho.
 
CCM ni mzigo mzito ambao haubebeki bila kukuachia maumivu makali ya mgongo lakini hawa ndugu zetu wameubeba kwa miaka takribani 50 bila kutua, nini kifanyike ili kumtoa utumwani mtumwa asiejua kama yuko utumwani wakuu!

ongeza na wa moro na tanga
 
Wanyamwezi ni natural born watumwa. Waliuzwa utumwani na Mwarabu, wakatumikishwa utumwani. Nyumbani Wanyamwezi ni watumwa kwa wake zao, wao wanajiona wanajua kupenda na kujali.
Kisiasa CCM inawatumikisha na haikuendelezi Tabora. Wanyamwezi amkeni kutoka kwenye utumwa wa fikra, ikataeni CCM

Umenikumbusha mfanya biashara tajiri wa enzi hizo mzee tippu tip. Kudadadeeeki.
 
Mmmmh inaweza kuwa kweli? Sikonge hebu rudi tena kwenye huu uzi tu-digest tena.Huyu bwana anaweza kuwa msula kweli lakini ni uongo?The Boss,Kaunga,Elli,Ablessed hebu njoni
 
CCM ni mzigo mzito ambao haubebeki bila kukuachia maumivu makali ya mgongo lakini hawa ndugu zetu wameubeba kwa miaka takribani 50 bila kutua, nini kifanyike ili kumtoa utumwani mtumwa asiejua kama yuko utumwani wakuu!

nilipowadharau ni pale mtu kama Rage eti naye anawaburuza !
 
wanyamwezi ni natural born watumwa. Waliuzwa utumwani na mwarabu, wakatumikishwa utumwani. Nyumbani wanyamwezi ni watumwa kwa wake zao, wao wanajiona wanajua kupenda na kujali.
Kisiasa ccm inawatumikisha na haikuendelezi tabora. Wanyamwezi amkeni kutoka kwenye utumwa wa fikra, ikataeni ccm

he! Kumbe ni kweli ? Au ndiyo maana wanapenda sana ugali , chakula cha wafungwa ?
 
Maswala ya ukabilaukabila noma sana,ndio maana Mwalimu alikataa baadhi ya Makabila yasichukuwe Uraisi,mojawapo WACHAGA,angalia MKAPA ni MMAKUA kabila ndogo sana,ndani ya MASASI (wachache),JK ni ------ ndani ya BAGAMOYO ni wachache,MWINYI ni mtu wa KISIJU nao wachache sana,MWALIMU ni MZANAKI pia kabila ndogo,kwa maana hiyo kama kuna watu wawili vichwa afadhali achukuliwe ambae kabila lake ni dogo,tofauti na KENYA hata akisimamishwa SHOGA kwenye URAISI au UBUNGE au USENETA atashinda tu ilimradi kabila lake ni kubwa.
 
Maswala ya ukabilaukabila noma sana,ndio maana Mwalimu alikataa baadhi ya Makabila yasichukuwe Uraisi,mojawapo WACHAGA,angalia MKAPA ni MMAKUA kabila ndogo sana,ndani ya MASASI (wachache),JK ni ------ ndani ya BAGAMOYO ni wachache,MWINYI ni mtu wa KISIJU nao wachache sana,MWALIMU ni MZANAKI pia kabila ndogo,kwa maana hiyo kama kuna watu wawili vichwa afadhali achukuliwe ambae kabila lake ni dogo,tofauti na KENYA hata akisimamishwa SHOGA kwenye URAISI au UBUNGE au USENETA atashinda tu ilimradi kabila lake ni kubwa.

hujanielewa mkuu
 
Back
Top Bottom