SoNotorious
JF-Expert Member
- Sep 11, 2011
- 2,422
- 859
CCM ni mzigo mzito ambao haubebeki bila kukuachia maumivu makali ya mgongo lakini hawa ndugu zetu wameubeba kwa miaka takribani 50 bila kutua, nini kifanyike ili kumtoa utumwani mtumwa asiejua kama yuko utumwani wakuu!