Anauliza jina la album liwe lipi..nimeona mdau mmoja insta kamjibu "jehanamu"..😂😂😂Sanaaaa yaani yalimfika shingoni akaamua kurudi tu
Leyla mtoto ndo kwanza kafikisha arobaini juzi daah njaa hizi. Anyway chapeni kazi. Hela kwanza mengine baadar
Sina shida ya yeye kurudi shida yangu alivyoaga alisema anaenda kumtumikia Allah sijui sasa hivi imekuwa je? Ila hata hivy mimi ni nani mpk nianze kumjaji?
Mtoto atakula nini? ukute yy ndi baba na mama wanaume siku hizi utadhani daaah ngoja niishie hapa
Asante kwa taarifaNasikia vijana wanaenda huko hawafuati taarabu, wanafuata mijimama.
Na wale wa vidole juuNasikia vijana wanaenda huko hawafuati taarabu, wanafuata mijimama.
Biashara zinawenyeweEnzi za JK,Mzee alifanikiwa sana akaanzisha biashara,akaacha kuimba akijua biashara zitamlipa. Sasa Magufuli kabana miaka 5 michungu. Biashara haziendi,mkopo bank anadaiwa.
Kaona bora arudi kuimba.
Mnaompinga mlitaka akaibe ?
Kila lenye kheri mzee. Halafu kwa ujinga wenu bado mtampigia kampein Magufuli.
Halafu ukumbi Dar live MbagalaYaani Legendary anarudi ulingoni kwa buku 10?!!
I see
Yeye ni mama,mume si ndo huyo huyo mzee labda kama anavumilia kuwa baba maana anazidi kuongeza tu watoto
Anauliza jina la album liwe lipi..nimeona mdau mmoja insta kamjibu "jehanamu"..
njaa mbaya
Nadhan si vema kuukosoa Uislam kwa kumtazama Muislamu. Na kuna tofauti kubwa.Kwahiyo uislam umemruhusu arudi?!au muziki sio dhambi Tena kwa mujibu wa uislam?!!
Au ameisoma namba weeeee!akaona hapa atakufa njaa!!!maana hizi dini hizi!!!