Mzee Yusuf sasa Jahazi ndani ya Dar es Salaam Ijumaa ya kuamkia 8/8

Enzi za JK,Mzee alifanikiwa sana akaanzisha biashara,akaacha kuimba akijua biashara zitamlipa. Sasa Magufuli kabana miaka 5 michungu. Biashara haziendi,mkopo bank anadaiwa.
Kaona bora arudi kuimba.
Mnaompinga mlitaka akaibe ?
Kila lenye kheri mzee. Halafu kwa ujinga wenu bado mtampigia kampein Magufuli.

Acha tu wabongo wanafiki ,hivi wanajua njaa kweli? Kama mtu biashara zake zimekufa awamu hii ya 5 unategemea akale wapi wakati kipaji anacho? Yaani tuchuklie mfano tu(haitotokea lakini) kama wagombea wa ACT na CDM wakienguliwa ni Bora nimchague Queen Sendiga kuliko JIWE.
 
Naona wale jamii ya wakina delicious wamefurahi
Jhz kurudi, lini sijui atakuwepo travertine?

Ova
 
Enzi za JK,Mzee alifanikiwa sana akaanzisha biashara,akaacha kuimba akijua biashara zitamlipa. Sasa Magufuli kabana miaka 5 michungu. Biashara haziendi,mkopo bank anadaiwa.
Kaona bora arudi kuimba.
Mnaompinga mlitaka akaibe ?
Kila lenye kheri mzee. Halafu kwa ujinga wenu bado mtampigia kampein Magufuli.
Tusipompigia Magufuli tumpigie nani?
 
Ok sawa!

Je amefanya research ya kutosha kama anapendwa au taarabu haijaathiriwa na bongo fleva kabla kufanya maamuzi ya kurudi?
Taarabu bado inapendwa sana has a huku kwetu mikoa ya pwani..
So mzee Yusuph mwenywe ndo aliikimbia fani, So naamini ujio wake bado atapata wafuasi wa nguvu.. Tazama tu toka mzee kaacha kuimba jinsi gani mziki was taarabu ulidorora
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom