Mzee Yusuf sasa Jahazi ndani ya Dar es Salaam Ijumaa ya kuamkia 8/8

toplemon

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
4,581
4,628
Ukisikia kurudi mjini ndo huku

Usiku wa kuamkia nane nane Jahazi modern Taarab chini ya mfalme yussuf watakiwasha pale Dar live mpaka majogoo


Mambo ni


Unaambiwa wapenz wa taarab walivyommis hiyo siku daah I can't wait mwenyewe nitakuepo

Kiingilio elfu kumi tu mlangoni

Atakuepo mzee yusuf, leyla rashid, fatma mcharuko,prince amigo,khadija yussuf,mtoto pori,.mc mwasiti na wengine wengi

Albam ya "full dozi" itazinduliwa siku hiyo

Tayari mzee ashaachia nyimbo kadhaa youtube

FB_IMG_15966294617226882.jpeg
 
Leyla mtoto ndo kwanza kafikisha arobaini juzi daah njaa hizi. Anyway chapeni kazi. Hela kwanza mengine baadar
 
Ok sawa!

Je amefanya research ya kutosha kama anapendwa au taarabu haijaathiriwa na bongo fleva kabla kufanya maamuzi ya kurudi?
 
Sijawahi kuuelewa mziki wa taarabu, achilia kuukubali, bora hata singeli aaah
 
Enzi za JK,Mzee alifanikiwa sana akaanzisha biashara,akaacha kuimba akijua biashara zitamlipa. Sasa Magufuli kabana miaka 5 michungu. Biashara haziendi,mkopo bank anadaiwa.
Kaona bora arudi kuimba.
Mnaompinga mlitaka akaibe ?
Kila lenye kheri mzee. Halafu kwa ujinga wenu bado mtampigia kampein Magufuli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom