johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Akihojiwa na TBC mzee Wassira alisema kuna baadhi ya vijana wa CHADEMA wanapenda sana kutukana washindani wao pale wanapoishiwa hoja hasa yule wanayemuita MDUDE CHADEMA.
Kwenye mahojiano hayo mzee Wassira alikuwa pamoja na Zitto Kabwe.
Kwenye mahojiano hayo mzee Wassira alikuwa pamoja na Zitto Kabwe.