Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,319
- 7,152
Ni wivu tuu unamsumbuaKerosine mpambe wa mwendazake unaona wivu Samia kuwa treated vizuri hizo ni Tabia za kike
Ni wivu tuu unamsumbuaKerosine mpambe wa mwendazake unaona wivu Samia kuwa treated vizuri hizo ni Tabia za kike
Unaelewa maana ya "ukame wa maarifa"!!???Ukiwa na Maarifa Ukame unaweza kuja?
Hekima za mwenyezi Mungu si sawa na za mwanadamu. Hivyo hata kudra zake hazielezeki wala kuhojiwa.Kwahiyo unakiri kuwa Kudra za Mwenyezi Mungu zilimpenda na Kumbariki zaidi JPM ila kwa huyu wa SSH Mwenyezi Mungu amegoma kumpa hizo Kudra zake?
Sikulaumu maana upumbavu uliouonyesha kujibu hoja hii ni Matokeo ya UPE yaliyoletwa na politicians wetu.Kwenye hiyo mito kuna miundombinu iliyojengwa kutupatia maji? Samia anaingiaje hapo Sasa?
Ukiona unashambulia mtu badala ya hoja jitathimini.Sikulaumu maana upumbavu uliouonyesha kujibu hoja hii ni Matokeo ya UPE yaliyoletwa na politicians wetu.
Sio mvua. Kipindi cha JK chote kulikuwa hamna mvua?. Mpaka tulikuwa tunadhuhudia mafuriko kila kona. Ni maarifa tu yamekosekana.Mvua zilikuwa nyingi sana