VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Bado tuna safari ndefu kwa nguvu ya mihimili kwa Tanzania bora tunayoitaka.
Ukifatilia uteuzi wa wakuu mihimili na uwezezeshaji kifedha inategemea hisani na maamuzi ya Rais aliyepo.
Sote tumeshuhudia Ndugai na wabunge wanavyojishusha hususani wa ccm kwa JPM mbali ya kuwa C.man.
Leo tena mwishoni Ndugai katumia tafsida kumshukuru JPM kuhusu mafao na stahiki wabunge "....kuhusu utaratibu...huwa mnanituma nami nafikisha.....utelekezaji unaendelea....mpeni makofi /pongezi nyingi zaidi..."
Rai yangu vyama upinzani wekeni dai la katiba ya wananchi liwe kipaumbele katika Ilani, wachache ccm wananeemeka na mfumo huu hawawezi kuligusia.
Ukifatilia uteuzi wa wakuu mihimili na uwezezeshaji kifedha inategemea hisani na maamuzi ya Rais aliyepo.
Sote tumeshuhudia Ndugai na wabunge wanavyojishusha hususani wa ccm kwa JPM mbali ya kuwa C.man.
Leo tena mwishoni Ndugai katumia tafsida kumshukuru JPM kuhusu mafao na stahiki wabunge "....kuhusu utaratibu...huwa mnanituma nami nafikisha.....utelekezaji unaendelea....mpeni makofi /pongezi nyingi zaidi..."
Rai yangu vyama upinzani wekeni dai la katiba ya wananchi liwe kipaumbele katika Ilani, wachache ccm wananeemeka na mfumo huu hawawezi kuligusia.