babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,097
- 15,988
Ballantine na JD, nlikuwemo humo ndani.Waulize wakongwe wa JF watakuibulia nyuzi inayo zungumzia kutembelewa kwa na Mwl usiku hapo mahakama ya samaki.
Sikuwai kumuona akipiga John Mtembezi.
Hizo ni whisky kali pia ndo vilikua vyombo vyake.
Simpre.