cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,076
- 136,561
kama la burna boy.Mkuu, ushasahau mara hii!? Ni 'Steps, one step ahead every day' Kwa lisauti flani lizito hivi.
kama la burna boy.Mkuu, ushasahau mara hii!? Ni 'Steps, one step ahead every day' Kwa lisauti flani lizito hivi.
hahha jamaa nakumbuka ndie akienifanya nipate mwanga wa sheria nilipokua shule ya msingi enzi hizo
Hivi zilikuwa ni funguo au pingu?Nakumbuka na kale kaufunguo alikokua anakachezea
Huku akisema adhabu yake ni kifungo cha miaka 5 au faini ya milioni 1 au vyote kwa pamoja
Sio makofi, Rijamaa ririkuwa rinavunja CD, yani hapo moyo ulikuwa unaniripuka kabisaAlikuwa anapiga makofi kuna mahali, paaaa