Mzee wa Vitisho alitutisha sana kabla ya kuanza kuangalia Bongo Movie

hahha jamaa nakumbuka ndie akienifanya nipate mwanga wa sheria nilipokua shule ya msingi enzi hizo

We kiboko ! shule ya msingi tu ushapata mwanga wa sheria? .... Sasa hivi si utakuwa jaji mkuu au jaji wa mahakama ya rufaa au mwanasheria mkuu wa serikali !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom