Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Mwambieni aende akaiombee Konyagi
Amakambo!!Kesha pata BAPA na AMAKAMBO mchana, hivyo akimaliza kuropoka atalala
Wewe mchungaji unakunywa pombe na wewe?Mbona hata mimi nimchungaji wa muda mrefu nilikuwepo tana mbele yake na sikunyeshewa na sikupewa nafasi kuombea dream liner na sija lalamika? Kama kungekuwa na ulazima wa kila kiongozi wa dini aliyekuwepo kuombea tungekesha tunaombea ndege. Pombe tungekunywa saa ngapi sasa?
Alitangaza kuwasameheHivi wale waandishi aliosema wangekufa kabla ya Machi 2017, na iwapo hawajafa angeacha uchungaji na kuuza gongo vipi?...
Hahahaaa... Baada ya kuona dua lake limegonga mwamba...Alitangaza kuwasamehe
Ndiyo. Kitabu pia kimeelekeza. Kila kitu kwa wastani. Ndio maana hata huyo mlalamishi anakunywa ila anakosea kuzidisha mpaka anaanza kutukana majirani. Kunywa kwa afya hakuna tatizo. Hata kule harusini Kana divai ilipoisha Bwana akatengeza nyingine mpaka watu wakashangaa kuwa hii iliyotulia namna hii ilifichwa wapi? Wakanywa mpaka wakatindikiwaWewe mchungaji unakunywa pombe na wewe?
Ahsante kwa elimu baba mchungajiNdiyo. Kitabu pia kimeelekeza. Kila kitu kwa wastani. Ndio maana hata huyo mlalamishi anakunywa ila anakosea kuzidisha mpaka anaanza kutukana majirani. Kunywa kwa afya hakuna tatizo. Hata kule harusini Kana divai ilipoisha Bwana akatengeza nyingine mpaka watu wakashangaa kuwa hii iliyotulia namna hii ilifichwa wapi? Wakanywa mpaka wakatindikiwa
Mmmmh Mchungaji uyoo! Tena sio Mchungaji tuu bali ni wa muda mrefuMbona hata mimi nimchungaji wa muda mrefu nilikuwepo tana mbele yake na sikunyeshewa na sikupewa nafasi kuombea dream liner na sija lalamika? Kama kungekuwa na ulazima wa kila kiongozi wa dini aliyekuwepo kuombea tungekesha tunaombea ndege. Pombe tungekunywa saa ngapi sasa?
Hivi wale waandishi aliosema wangekufa kabla ya Machi 2017, na iwapo hawajafa angeacha uchungaji na kuuza gongo vipi?...