Mzee wa Upako atoa amri mvua kunyesha nchini na imenyesha

Yo Yo

JF-Expert Member
May 31, 2008
11,217
1,702
MCHULUSEKELOGPL.jpg

Juzi nilikuwa guest fulani naangalia tv....nikavutiwa na mzee wa upako Antony Lusekelo akifanya mahojiano na chanel 10...alisema aliamuru katika mikoa baadhi akaitaja Singida,Dar nk mvua inyeshe tarehe 9....

...akasema sasa hivi Dar mawingu yameshaanza kutanda....na kweli nasikia Dar mvua imenyesha juzi 10/feb 2011...pia alisema kwa anaebisha ajitokeze kama yeye kwenye TV na ataamuru ukame utokee...kasema ana uwezo huo...

Mzee wa Upako ni asset kubwa kwa Watanzania....tumtumieni wakuu...
 
Mbona hakuamuru zinyeshe mwezi Januari? Hata sisi wakulima wa mahindi (mikoa ya mwambao na kati) tunajua mwezi wa pili mvua za kupandia zinanyesha.
 
ni kweli,siku anaitabiria mvua kunyesha nilisikia kwa masikio yangu,and after one week na kweli mvua imeanza.

kama ni kipindi cha masika si ingeanza kunyesha january, mbona haikutokea na serikali ikatangaza mvua ikigoma kushuka umeme utazidi kua tatizo. kwa hilo BIG UP LUSEKELO.
 
Kwani kwa watu wa HALI YA HEWA kwa siku za karibuni walitabiri nini nchini? Isije kuwa kuna muingiliano na watu kuwahi kwenye luninga na ....
 
MCHULUSEKELOGPL.jpg

Juzi nilikuwa guest fulani naangalia tv....nikavutiwa na mzee wa upako Antony Lusekelo akifanya mahojiano na chanel 10...alisema aliamuru katika mikoa baadhi akaitaja Singida,Dar nk mvua inyeshe tarehe 9....

...akasema sasa hivi Dar mawingu yameshaanza kutanda....na kweli nasikia Dar mvua imenyesha juzi 10/feb 2011...pia alisema kwa anaebisha ajitokeze kama yeye kwenye TV na ataamuru ukame utokee...kasema ana uwezo huo...

Mzee wa Upako ni asset kubwa kwa Watanzania....tumtumieni wakuu...

no comment...........:A S thumbs_down:
 
Jamaa muongo kabisa hkuna lolote ....aliaangalia weather forecast kwenye internet....maana hata CNN walitabiri juzi mvua kunyesha juzi na jana katika pwani ya afrika mashariki.
 
Huyu jamaa Lusekelo si mtu wa kumchezea hata kidogo, ana kipawa kikubwa alichobarikiwa na Mungu wake.

Binafsi yangu mimi namkubali sana.
 
MCHULUSEKELOGPL.jpg

Juzi nilikuwa guest fulani naangalia tv....nikavutiwa na mzee wa upako Antony Lusekelo akifanya mahojiano na chanel 10...alisema aliamuru katika mikoa baadhi akaitaja Singida,Dar nk mvua inyeshe tarehe 9....

...akasema sasa hivi Dar mawingu yameshaanza kutanda....na kweli nasikia Dar mvua imenyesha juzi 10/feb 2011...pia alisema kwa anaebisha ajitokeze kama yeye kwenye TV na ataamuru ukame utokee...kasema ana uwezo huo...

Mzee wa Upako ni asset kubwa kwa Watanzania....tumtumieni wakuu...

Kama kweli anatumia nguvu za Mungu namwombea kila la heri. Ila siku hizi baadhi wahubuir ni wafanyabiashara na wanatumia TV kutangaza biashara zao.

Kwa suala kama la mvua, ni rahisi mtu kucheza na utabiri wa hali ya hewa, na kuangalia msimu...
 
Jamaa muongo kabisa hkuna lolote ....aliaangalia weather forecast kwenye internet....maana hata CNN walitabiri juzi mvua kunyesha juzi na jana katika pwani ya afrika mashariki.
Mkuu si vizuri kuwasemea vibaya watu wa Mungu...
 
MCHULUSEKELOGPL.jpg

Juzi nilikuwa guest fulani naangalia tv....nikavutiwa na mzee wa upako Antony Lusekelo akifanya mahojiano na chanel 10...alisema aliamuru katika mikoa baadhi akaitaja Singida,Dar nk mvua inyeshe tarehe 9....

...akasema sasa hivi Dar mawingu yameshaanza kutanda....na kweli nasikia Dar mvua imenyesha juzi 10/feb 2011...pia alisema kwa anaebisha ajitokeze kama yeye kwenye TV na ataamuru ukame utokee...kasema ana uwezo huo...

Mzee wa Upako ni asset kubwa kwa Watanzania....tumtumieni wakuu...

Uongo mtupu!!!
 
http://api.ning.com/files/
Juzi [B]nilikuwa guest fulani [/B]naangalia tv....nikavutiwa na mzee wa upako Antony Lusekelo akifanya mahojiano na chanel 10...alisema aliamuru katika mikoa baadhi akaitaja Singida,Dar nk mvua inyeshe tarehe 9....

...akasema sasa hivi Dar mawingu yameshaanza kutanda....na kweli nasikia Dar mvua imenyesha juzi 10/feb 2011...pia alisema kwa anaebisha ajitokeze kama yeye kwenye TV na ataamuru ukame utokee...kasema ana uwezo huo...

Mzee wa Upako ni asset kubwa kwa Watanzania....tumtumieni wakuu...[/QUOTE]

Ulikuwa 'guest' lakini ukiangalia mahubiri!!" lol...
 
Mbona hakuamuru zinyeshe mwezi Januari? Hata sisi wakulima wa mahindi (mikoa ya mwambao na kati) tunajua mwezi wa pili mvua za kupandia zinanyesha.

Ubishi wa simba na yanga umeanza sasa!!
 
Back
Top Bottom