Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Juzi nilikuwa guest fulani naangalia tv....nikavutiwa na mzee wa upako Antony Lusekelo akifanya mahojiano na chanel 10...alisema aliamuru katika mikoa baadhi akaitaja Singida,Dar nk mvua inyeshe tarehe 9....
...akasema sasa hivi Dar mawingu yameshaanza kutanda....na kweli nasikia Dar mvua imenyesha juzi 10/feb 2011...pia alisema kwa anaebisha ajitokeze kama yeye kwenye TV na ataamuru ukame utokee...kasema ana uwezo huo...
Mzee wa Upako ni asset kubwa kwa Watanzania....tumtumieni wakuu...