Mzee wa Upako aka Mch Antony Lusekelo amesema kwa kuwa Rais Kikwete amesha saini mswaada wa katiba mpya kinachotakiwa sasa ni kuaminiana tu hakuna haja ya kuupinga!.Amewataka wananch na wadau mbalimbali kujitokeza na kuunga mkono Mswaada huo kwa kuchangia mawazo.Amesema Katiba iliyopo sasa haina makosa mengi ya kurekebisha! Source :gzt Mwananch leo