Mzee wa miaka 60 adondoka ghorofa ya 5 jengo la Red Cross Dar

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
Mzee mmoja mwenye umri wa miaka 60 amedondoka leo kwenye jengo la Redcross lililopo mkabala na barabara ya Ali Hassan Mwinyi na kufa hapo hapo. Mzee huyu mwenye asili ya kiasia kwa mujibu wa televevision Tumaini aliaga toka ghorofa ya tatu iliyopo ofisi yake kuwa anakwenda ghorofa ya tano kufata chakula na ghafla aliaanguka na kufariki dunia. R.I.P mzee Patel...
 
Mzee mmoja mwenye umri wa miaka 60 amedondoka leo kwenye jengo la Redcross lililopo mkabala na barabara ya Ali Hassan Mwinyi na kufa hapo hapo. Mzee huyu mwenye asili ya kiasia kwa mujibu wa televevision Tumaini aliaga toka ghorofa ya tatu iliyopo ofisi yake kuwa anakwenda ghorofa ya tano kufata chakula na ghafla aliaanguka na kufariki dunia. R.I.P mzee Patel...
Alidondoka toka juu hadi chini au alidondoka ndani ya jengo lenyewe akiwa ghorofa ya tano?
 
RIP mr Patel......alidhamiria au ilikuwa bahati mbaya
 
Haijaweza kufahamika kwani watu walikuwepo kwenye jengo hilo walistukia ameanguka kwa kishindo kikubwa hivyo hakuna aliemuona kama amejirusha ama la
 
RIP mr Patel......alidhamiria au ilikuwa bahati mbaya

You cant be serious Preta!
 
RIP mr Patel......alidhamiria au ilikuwa bahati mbaya

You cant be serious Preta!

...Why? It is a good question. hata mimi ningependa kujua; Ameanguka kwa bahati mbaya ama alidhamiria kwa maana ya kwamba alitaka kujiua??

 
...Why? It is a good question. hata mimi ningependa kujua; Ameanguka kwa bahati mbaya ama alidhamiria kwa maana ya kwamba alitaka kujiua??

Ngoja tusubiri habari zaidi, kwani mule red cross kuna apartment ya AMREF ambao huwa wanapima ngoma. Mimi nilishapima pale mara saba, panatisha sana hasa kwenye kile chumba wanachowawekea mikanda ya video.
 
Hili jengo la Red Cross haliko mkabala na Ali Hassan Mwinyi road.... Liko kwenye kona ya bibi titi na morogoro mkabala na jengo la NSSF karibu na Wizara ya Kazi or CBE. Jengo hili kwa nje ukilitizama linaonekana zuri kidogo lakini ndani ni libaya sana baadhi ya floor. In general finishing yake haijakaa vema na pia baadhi ya sehemu hazijamalizika. Tile zimewekwa ovyo ile mbaya... Inasemekana huyo mtu aliteleza ngazi ndo ikawa mwisho wa maisha yake...So sad:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
 
Wakubwa

Mimi nafanya kazi kwenye jengo hili (kwanza sidhani kama umri wake unafika hata50yrs) ni kwenye Fourtys.
Lakini ni kweli alidondoka na kupasuka kichwa na sehemu ingine kavuja damu hadi kifo.

Alipotoka ofisini kwake aliaga anaenda kula lakini cha ajabu aliacha waleti yake, simu yake na miwani yake mezani kwake

Baada ya polisi kufika eneo la tukio na kufanya taratibu zao walienda ofisini na ndio kuviona vitu hivyo hapo juu(cm, miwani, walet).
Baada ya kuiangalia simu yake walikuta messege ya mwisho kamwandikia mkewe Kwamba AWALEE WATOTO WAKE VIZURI.

Kwa maana hiyo ndio maana inasemekana alijiua mwenyewe. Zaidi tusubiri taarifa rasmi ya kipolisi.

Hayo ndio yaliyojiri hapa mjengoni jana Saa tano na dakika 11 hivi asubuhi
 
Hili jengo la Red Cross haliko mkabala na Ali Hassan Mwinyi road.... Liko kwenye kona ya bibi titi na morogoro mkabala na jengo la NSSF karibu na Wizara ya Kazi or CBE. Jengo hili kwa nje ukilitizama linaonekana zuri kidogo lakini ndani ni libaya sana baadhi ya floor. In general finishing yake haijakaa vema na pia baadhi ya sehemu hazijamalizika. Tile zimewekwa ovyo ile mbaya... Inasemekana huyo mtu aliteleza ngazi ndo ikawa mwisho wa maisha yake...So sad:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:

Mzee hiyo Ramani yako umeitoa wapi?
Jengo hili (RED CrOSS) lipo Ally Hassan Mwinyi Road, karibu na BP na Kribu na Ubalozi wa Japani, opposite kuna kanisa la greek Orthodox na makaburi kabla ya nyumba ya sanaa
 
Mzee hiyo Ramani yako umeitoa wapi?
Jengo hili (RED CrOSS) lipo Ally Hassan Mwinyi Road, karibu na BP na Kribu na Ubalozi wa Japani, opposite kuna kanisa la greek Orthodox na makaburi kabla ya nyumba ya sanaa

Wewe kweli Kituko, hilo jengo unalolisema limebolewa miaka kadhaa iliyopita- kuna ujenzi wa Viva Towers unaendelea kwenye eneo hilo. Now days Red Cross wapo maeneo ya Akiba
 
Back
Top Bottom