Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,566
Napenda sana kumtazama huyu jamaa siku hizi Chef Fred Uisso.
Jamaa anapika vyakula mbalimbali vya makabila Tanzania,kupitia yeye najifunza kuacha mapishi ya kuiga iga na ya mazoea.
Jamaa anapenda sana kuonja onja
Naombeni kujua wasifu wake.
Jamaa anapika vyakula mbalimbali vya makabila Tanzania,kupitia yeye najifunza kuacha mapishi ya kuiga iga na ya mazoea.
Jamaa anapenda sana kuonja onja
Naombeni kujua wasifu wake.