Mzee wa Chato: Mimi ni mwanachadema mtiifu kwa chama changu lakini Rais Magufuli anapofanya mazuri lazima tumuunge mkono

Nimeupenda sana huu msimamo wa yule mzee wa Chato ambaye ni Chadema damu aliyesema Rais Magufuli kwa mazuri anayolitendea taifa hili ni lazima tumuunge mkono bila kujali itikadi za vyama vyetu

Ni matumaini yangu kuwa wanachadema wenye mapenzi mema duniani kote ikiwemo kamati kuu ya Chadema watauchukua ushauri wa kigogo huyu wa Chadema kutoka Chato - Geita.

Maendeleo hayana vyama!
Hata nyerere feki anakushangaa
tapatalk_1562870950528.jpeg
 
Nimeupenda sana huu msimamo wa yule mzee wa Chato ambaye ni Chadema damu aliyesema Rais Magufuli kwa mazuri anayolitendea taifa hili ni lazima tumuunge mkono bila kujali itikadi za vyama vyetu

Ni matumaini yangu kuwa wanachadema wenye mapenzi mema duniani kote ikiwemo kamati kuu ya Chadema watauchukua ushauri wa kigogo huyu wa Chadema kutoka Chato - Geita.

Maendeleo hayana vyama!
HUYO ALIKUWA ANAUZA SURA TU, NA ALITAMKA HIVYO AKITEGEMEA ATAHITWA A MKUU AMPE MKONO, NA PIA CHOCHOTE. NJAA MBAYA.
 
Nimeupenda sana huu msimamo wa yule mzee wa Chato ambaye ni Chadema damu aliyesema Rais Magufuli kwa mazuri anayolitendea taifa hili ni lazima tumuunge mkono bila kujali itikadi za vyama vyetu

Ni matumaini yangu kuwa wanachadema wenye mapenzi mema duniani kote ikiwemo kamati kuu ya Chadema watauchukua ushauri wa kigogo huyu wa Chadema kutoka Chato - Geita.

Maendeleo hayana vyama!
Kama Dunia inavyomuunga mkono Kabugi....Disappeared and died...CCM wenye mapenzi mema pia Muungeni mkono angalau Maiti ya Mwandishi Azory ipatikane
 
Mbona imeshindwa kuua tija hayo mazuri aliyofanya niyapi , ile mipango yenu ya kishamba eti unampanga MTU unajifanya kusimamusha daladala kumbe tukio lilishapangwa ni ushamba wa hali ya juu .
 
Tena anaongea mbele ya mitutu,,...atampinga namba moja?
Kuna mtu anaweza kuhojiwa na vyombo vya habari sasa hivi enzi hizi za kundi la watu wasiojulikana kisha akasema tofauti na hicho huyo mzee alichoongea? Tundu Lissu tu ndio anaweza kuongea kutomkubali Magufuli hadharani na wapinzani wachache. Wengine wote ni kumsifu mungu wa Tanzania.
 
Angepungukiwa na nini angesema tu anaunga mkono juhudi kama Mtanzania?
Kwani hadi aitaje chedema?
 
MTU AKIFANYA VIZURI APONGEZWE AKIFANYA VIBAYA AKUBALI KUKOSELEWA(SIO KUKASHFIWA ETI DIKTETA UCHWARA)
[/QUOT
mkuu ilo povu unamaanisha wanaomponda mwamba wa chato unawatamani sana vipi nawewe ndio wale Wale unaonekana unawachukia sana watanzania wezio wanaomponda raisi wetueeh
 
Hata mimi mwenyewe nikikutana naye ana kwa ana nitamsifu na kumpongeza,mbona marehemu siku ya msiba wake huwa anageuka malaika mbele ya waombolezaji wakati kipindi cha uhai wake marehemu huyohuyo alikuwa ni kero kwa waombolezaji, na baada ya mazishi walewale waliokuwa wanamsifia na kumpongeza marehemu wanamshukuru Mungu kwa kuwaondolea kero.
 
Chama sio uadui. Wote tupo kwenye gari moja. Lengo la kuwa na vyama vingi si kuleta uadui wa kisiasa, bali maendeleo. Lakini uroho wa madaraka na kujilimbikizia madaraka, kunafanya watu wawe na roho za kinyama.
 
Back
Top Bottom