Naomba mnisaidie kataka hili jambo...huyu mzee wa bongo Dar es Salam Mr. Dude, anaisaidia jamii au anaipotosha vile anavyogiza jinsi wezi wanavyotumia mbinu mbali mbali katika kutimiza malengo yao?!
Anaelimisha Msije ibiwa...na jinsi gani...unaweza kuwa makini hasa unapokuwa mini kama dar es salaam watu walivyo wengi..Kazi hakuna kila mtu mbunifu wa njia za kupata kipato.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.