Mzee Utouh anaandika “ ... Hili ni mojawapo ya mambo yaliyonitesa sana kwenye Uongozi wangu. Baadhi ya Wabunge walionesha kupoteza imani nami....”

moyafricatz

JF-Expert Member
Nov 27, 2015
2,900
4,865
Ninarudia kusoma Kitabu Cha Mzee Ludovick Utouh ili kuona kama kumewahi tokea ukinzani wa CAG na Bunge huko nyuma na Viongozi walichukua hatua gani. Nakutana na kisa Cha Jairo kuanzia Ukurasa wa 77 mpaka 80. Mzee Utouh anaandika “ .... Rais Jakaya Kikwete alieleza wazi Kwamba si Bunge wala Serikali zenye uwezo wa kumwadhibu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, bali ni mahakama pekee tena kwa utaratibu ulioanishwa kikatiba....”

Kabla ya hapo Mzee Utouh anaandika “ ... Hili ni mojawapo ya mambo yaliyonitesa sana kwenye Uongozi wangu. Baadhi ya Wabunge walionesha kupoteza imani nami....”

Hii sio mara ya kwanza Bunge kujaribu kutomasa Katiba. Lakini wakati wa Mzee Utouh Viongozi wakubwa kama Rais waliingilia kati na kusema waziwazi BUNGE HALINA MAMLAKA NA CAG. Sasa hivi inawezekana Viongozi wakubwa Ndio wapishi wa mgogoro huu ambao hauna maana kabisa.
IMG-20190406-WA0030.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG-20190406-WA0030.jpeg
    IMG-20190406-WA0030.jpeg
    31.2 KB · Views: 20
CC: Pascal Mayalla

Ninarudia kusoma Kitabu Cha Mzee Ludovick Utouh ili kuona kama kumewahi tokea ukinzani wa CAG na Bunge huko nyuma na Viongozi walichukua hatua gani. Nakutana na kisa Cha Jairo kuanzia Ukurasa wa 77 mpaka 80. Mzee Utouh anaandika “ .... Rais Jakaya Kikwete alieleza wazi Kwamba si Bunge wala Serikali zenye uwezo wa kumwadhibu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, bali ni mahakama pekee tena kwa utaratibu ulioanishwa kikatiba....”

Kabla ya hapo Mzee Utouh anaandika “ ... Hili ni mojawapo ya mambo yaliyonitesa sana kwenye Uongozi wangu. Baadhi ya Wabunge walionesha kupoteza imani nami....”

Hii sio mara ya kwanza Bunge kujaribu kutomasa Katiba. Lakini wakati wa Mzee Utouh Viongozi wakubwa kama Rais waliingilia kati na kusema waziwazi BUNGE HALINA MAMLAKA NA CAG. Sasa hivi inawezekana Viongozi wakubwa Ndio wapishi wa mgogoro huu ambao hauna maana kabisa.View attachment 1063973

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninarudia kusoma Kitabu Cha Mzee Ludovick Utouh ili kuona kama kumewahi tokea ukinzani wa CAG na Bunge huko nyuma na Viongozi walichukua hatua gani. Nakutana na kisa Cha Jairo kuanzia Ukurasa wa 77 mpaka 80. Mzee Utouh anaandika “ .... Rais Jakaya Kikwete alieleza wazi Kwamba si Bunge wala Serikali zenye uwezo wa kumwadhibu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, bali ni mahakama pekee tena kwa utaratibu ulioanishwa kikatiba....”

Kabla ya hapo Mzee Utouh anaandika “ ... Hili ni mojawapo ya mambo yaliyonitesa sana kwenye Uongozi wangu. Baadhi ya Wabunge walionesha kupoteza imani nami....”

Hii sio mara ya kwanza Bunge kujaribu kutomasa Katiba. Lakini wakati wa Mzee Utouh Viongozi wakubwa kama Rais waliingilia kati na kusema waziwazi BUNGE HALINA MAMLAKA NA CAG. Sasa hivi inawezekana Viongozi wakubwa Ndio wapishi wa mgogoro huu ambao hauna maana kabisa.View attachment 1063973

Sent using Jamii Forums mobile app

Hili Ni Andiko la Zitto Kabwe Kwenye page yake ya Instagram

Ni vyema ku acknowledge source
 
Jakaya hakuwa Rais kwa bahati mbaya

Babu yake Mzee Mizega alikuwa Chief wa Wakwere

Baba Yake Mzazi alikuwa Mkuu wa Wilaya kadhaa Hapa nchini kabla ya uhuru
Na Baada ya uhuru akawa Makamu Mwenyekiti wa Baraza la kushauri Marekebisho ya Katiba ya 1965

Primary alikuwa Head boy wa Shule

Secondary alikuwa Head Boy Kule Tanga

Chuo Kikuu alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Jumuia ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Dar Es salaam

Jeshini akawa Mwalimu wa Siasa

Akashika nafasi mbali mbali Za Kisiasa kwa Miaka 31 (1974-2005) Za ndani ya Chama Na Serikal kabla ya Kuwa Mkuu wa Nchi

So alikuwa anajua Nguvu Na Mipaka ya Kazi ya Rais

Kwenye Issue ya Jairo, Ludovick Uttoh alichemka kwa Kuwa alimtetea Waziwazi Jairo dhidi ya Ile Tuhuma ya Rushwa Lakin Jk ilibidi asimame Na CAG mwanzo Mwisho ili kulinda Katiba Na hadhi ya CAG

Baadae kwa busara zake Baada ya Joto kutulia akatekeleza Maazimio ya Bunge kwa kumtoa Jairo

Hapo akawa Kalinda hadhi ya CAG

Pia Katelekeza Azimio la Bunge

Zile Hikma Ni Za kuzaliwa sio Za Maabara
 
Jakaya hakuwa Rais kwa bahati mbaya

Primary alikuwa Head boy wa Shule

Secondary alikuwa Head Boy Kule Tanga

Chuo Kikuu alikuwa Makamu Mwenyekiti

Jeshini akawa Mwalimu wa Siasa

Akashika nafasi mbali mbali Za Kisiasa kwa Miaka 31 (1974-2005) Za ndani ya Chama Na Serikal kabla ya Kuwa Mkuu wa Nchi

So alikuwa anajua Nguvu Na Mipaka ya Kazi ya Rais

Kwenye Issue ya Jairo Ludovick Uttoh alichemka kwa Kuwa alimtetea Waziwazi Jairo dhidi ya Ile Tuhuma ya Rushwa Lakin Jk ilibidi asimame Na CAG mwanzo Mwisho ili kulinda Katiba Na hadhi ya CAG

Baadae kwa busara zake Baada ya Joto kutulia akatekeleza Maazimio ya Bunge kwa kumtoa Jairo

Hapo akawa Kalinda hadhi ya CAG

Pia Katelekeza Azimio la Bunge

Zile Hikma Ni Za kuzaliwa sio Za Maabara

Kwamba magufuli wa bahat mbaya na spika wa bunge ndicho una maanisha
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tuwekee na mukhtasari wa huyo kichaa waliyemsukumizia Ikulu, itapendeza Mkuu.

Jakaya hakuwa Rais kwa bahati mbaya

Primary alikuwa Head boy wa Shule

Secondary alikuwa Head Boy Kule Tanga

Chuo Kikuu alikuwa Makamu Mwenyekiti

Jeshini akawa Mwalimu wa Siasa

Akashika nafasi mbali mbali Za Kisiasa kwa Miaka 31 (1974-2005) Za ndani ya Chama Na Serikal kabla ya Kuwa Mkuu wa Nchi

So alikuwa anajua Nguvu Na Mipaka ya Kazi ya Rais

Kwenye Issue ya Jairo Ludovick Uttoh alichemka kwa Kuwa alimtetea Waziwazi Jairo dhidi ya Ile Tuhuma ya Rushwa Lakin Jk ilibidi asimame Na CAG mwanzo Mwisho ili kulinda Katiba Na hadhi ya CAG

Baadae kwa busara zake Baada ya Joto kutulia akatekeleza Maazimio ya Bunge kwa kumtoa Jairo

Hapo akawa Kalinda hadhi ya CAG

Pia Katelekeza Azimio la Bunge

Zile Hikma Ni Za kuzaliwa sio Za Maabara
 
Tuwekee na mukhtasari wa huyo kichaa waliyemsukumizia Ikulu, itapendeza Mkuu.

Huyu Hayati Mzee Pombe Magufuli alimshauri aachane Na Wazo lake la Kuwa Padri wa Kanisa Katoliki japo haielezi Kwanini Baba yake alimzuia asiwe Padri labda alijua atahitajika kwa nafasi ya Juu zaid ya Nchi Kwa ajili ya Wanyonge

Baba wa Rais Magufuli hakutaka ladha ya Mwanae waonje wakatoliki pekee alitaka tufaidike Watanzania wote
 
Danganyika tuna bunge au genge la wahuni wachumia tumbo? Sheria zote ngumu zinatungiwa na kutekelezwa wa walala hoi au wakiuka genge. Sheria za haki haki hutendeka kwa wanagenge tu na familia zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🙉🙉🙉🙉🙉🙉wanyonge anawaowadhulumu na kuwavunjia nyumba zao.

Huyu Hayati Mzee Pombe Magufuli alimshauri aachane Na Wazo lake la Kuwa Padri wa Kanisa Katoliki japo haielezi Kwanini Baba yake alimzuia asiwe Padri labda alijua atahitajika kwa nafasi ya Juu zaid ya Nchi Kwa ajili ya Wanyonge
 
Back
Top Bottom