Mzee umefika Chato, one hour drive utafika Kagera, karibu

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,791
71,194
Wamesema sana hauendi, hauji, hautafika na kadhalika. Lakini mzee kwa vile umesafiri kwa barabara almost kilometa 1,500 huwezi kushindwa mwendo wa SAA moja na kuja Bukoba kula ndizi na senene na kutuona kidogo.

Jana TV zote zimekuonyesha unahani msiba wa mtu mmoja Chato sasa njoo uje uhani misiba ya watu wengi Kagera.

Yale sijui rambirambi sijui michango wala hatuko huko tumesha sahau sie, kwani wangapi walisha shuhudia baba zao wakinywea pombe ada za shule lakini walisoma tuu? Baba ni baba ana mbinu nyingi tuu hivyo hatuna wasiwasi na hilo.

By Mwananchi wa Bukoba.
(Nimeuchukua mwaliko huo kama ulivyo)
 
Jf 24hrs,Uzi wa saa 10 usiku huu
Mkuu JF IPO Dunia nzima ndio maana tunasema JF ni mziki mnene.

Niko HongKong nimemaliza kupiga breakfast yangu nikaona nijimwaga JF na salamu nilizopata jana na huko home wakiamka wakutane nazo.

Kumbe mziki mnene watu wanaruka nao 24/7 kasoro watu kama Wakudadavuwa sasa hivi ndio wanajituma hasa ili kutimiza agizo LA kufyatua watoto ili apate kuitwa mama fulani
 
Mkuu JF IPO Dunia nzima ndio maana tunasema JF ni mziki mnene.
Niko HongKong nimemaliza kupiga breakfast yangu nikaona nijimwaga JF na salamu nilizopata jana na huko home wakiamka wakutane nazo.
Kumbe mziki mnene watu wanaruka nao 24/7 kasoro watu kama Wakudadavuwa sasa hivi ndio wanajituma hasa ili kutimiza agizo LA kufyatua watoto ili apate kuitwa mama fulani


duh kweli dunia kubwa. mimi ndo kwanza nimemaliza lunch hapa!!!
 
Sisi wanakagera tuliowengi tunasema jamaa yenu hatumtaki akanyage Ardhi yetu,sisi sio kipande chake,hatuachie Ardhi yetu yenye matetemeko!!
Kwa hiyo Kaguta akisema yale maneno ya Iddi kuwa sijui MTO Kagera nyie mtasema ni mpaka Muleba njoo tuu?
 
too late ! raia kapata janga leo,wewe unakula bata mjini,kwenda kumfariji baada ya robo mwaka huko ni kwenda kuangalia JE KAWA SHETANI KWELI ?
 
Wamesema sana hauendi, hauji, hautafika na kadhalika. Lakini mzee kwa vile umesafiri kwa barabara almost kilometa 1500 huwezi kushindwa mwendo wa SAA moja na kuja Bukoba kula ndizi na senene na kutuona kidogo.
Jana TV zote zimekuonyesha unahani msiba wa mtu mmoja Chato sasa njoo uje uhani misiba ya watu wengi Kagera.
Yale sijui rambirambi sijui michango wala hatuko huko tumesha sahau sie, kwani wangapi walisha shuhudia baba zao wakinywea pombe ada za shule lakini walisoma tuu? Baba ni baba ana mbinu nyingi tuu hivyo hatuna wasiwasi na hilo.
By Mwananchi wa Bukoba.
(Nimeuchukua mwaliko huo kama ulivyo)
Kipi Muhimu Zaidi Kwa Waathirika wa Tetemeko? Kutembelewa na Kufarijiwa kwa Pole Tu, au Kusaidiwa?

Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere! Or Am, I Wrong!?

Mhe. Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, "Sema Neno Moja Tuu, na Roho Zetu Zitapona!"

Paskali
 
Back
Top Bottom