Mzee Nani Tena? Aisee hii familia si rafiki kwa wazee.habari wadau
nimemuonea huruma sana yule mfanyakazi wa airport. aliyekuwa anazuia asirekodiwe video .. akaambiwa "toka hapa" akanywea kama mwanamke kwa mumewe...
vijana tafuteni hela... heshima ya uzee imepitwa na wakati..
mtu mzima unaambiwa toka hapa na kijana mdogooo na hufanyi kitu . ni fedheha sana