Mzee Uledi na Msafisha Viatu wamuonya Tundu Lissu vita alioanzisha imeingia kwenye "Grey Zone", kutoka itakuwa shida

Je vyombo vya habari vya kenya vilivyohabarisha juu ya hili suala navyo viko ktk red zone??

Kwenda zenu mnaangaika tu na uteuzi na hampati ng'oo, endeleen tu kulamba viatu vya wakubwa ila uteuzi ng'ooo hamtopata kwa laana zenu
Tundu hana namana ya kuchomoka kwenye hiyo greyzone, sasa ajiandae kisaikolojia, maana zone aliyofika sio shwari kbsa. Kweli kuujua undani wa mtu ina gharama. Aje atuombe radhi watz tutamuelewa.
 
Tundu hana namana ya kuchomoka kwenye hiyo greyzone, sasa ajiandae kisaikolojia, maana zone aliyofika sio shwari kbsa. Kweli kuujua undani wa mtu ina gharama. Aje atuombe radhi watz tutamuelewa.
Akuombe radhi nani mwehu kama wewe?
 
@richard
Umeandika utumbo Mwingi sana.

Nani amekuwa misinformed na Lissu hapa ?
Na kwanini wenye correct information wasiitoe na ku clear atmosphere ?
Badala ya kuanza kumlaumu Lissu why Mzee Baba asitoke hadharani kutuliza ha watu mnaosema wamepatwa na Taharuki ?
How much does it cost ?
Msitupangia wa kumuamini
Tundu Lissu amewahi kutoa taarifa zisizo sahihi.

Angeuliza suali moja tu aliko kiongozi mkuu wa nchi ingetosha.

Lakini kusema wazi kwamba amepelekwa huku na huko ni uzushi kwani hana uhakika na ushahidi wa aloyasema.

Nimeandika kinachoweza kukutokea endapo utaendelea kutoa taarifa za kizushi na zikaenea dunia nzima.

Hivi wafahamu ni viongozi wangapi duniani wamefanya enquiries?

Kabla ya kufanya kitu jaribu kuchukua tahadhari na ujidhihirishe kwanza.

Ila kama wewe wamwamini sana Tundu Lissu huo ni msimamo wako, siwezi ubadili.
 
Tumebaki na MITANDAO tu ambayo angalau inathubutu kuhoji, kutoa mawazo mbadala, inakosoa, hayo mnayofanya serikali. BUNGE mmeua. Limekuwa NEC ya CCM. Vyombo vya habari mmevikaba koo. Vingine vimejifia kimyakimya. Upinzani ni kama haupo. Sasa mnatuwinda mitandaoni. Baadaye iweje?
Mitandao haipo kwa ajili ya kupotosha na kueneza taharuki.

Na kuhusu vyombo vingi vya habari mbona vimekuwa vikiandika habari zinazotolewa na viongozi wa serikali?

Hivi wadhani taarifa zitoke kona tatu ni jambo la kawaida?
 
Habari nzima ni upuuzi na ujinga mtupu.

Kama kila mtu ataleta hadithi za vijiwe vya kahawa na vya kusafishia viatu, hapa jukwaani, jukwaa halitakuwa la greater thinkers tena, litakuwa jukwaa la wajinga na wambeya.

Siku nyingine ukisikia umbeya kutoka kijiwe kimoja, beba huo umbeya wapelekee wambeya wa kijiwe kingine. Hili jukwaa lililenga mijadala ya watu wenye uelewa kwaajili ya kujadili hoja na siyo umbeya.
Thinking capacity yako ni ndogo sana huwezi kuelewa.

Ndo maana unaishia kutukana.

Wewe wawafahamu hawa wazee?

Hata hivyo, nimetoa angalizo mwisho wa mada.
 
Lissu hajauliza suali, bali amesambaza habari za uongo na uzushi kwa vyombo mbalimbali vya habari.

Method of delivery=Twitter.
 
..nilitegemea bwana mkubwa atahutubia taifa toka KANISANI leo jumapili.

..nini kimesababisha bwana mkubwa asionekane kwa muda mrefu kiasi hiki?
 
Sijui kwa nini mnapenda kupoteza kuzungusha na kupotezea mambo ya muhimu kwa mambo yasio na tija?
Maswali yalioulizwa na yanayoendelea kuulizwa ni mawili tu;
1. Raisi yuko wapi?
2. Ana hali gani?
Wahusika wajibu haya maswali tusipotezeane muda!
 
Tundu hana namana ya kuchomoka kwenye hiyo greyzone, sasa ajiandae kisaikolojia, maana zone aliyofika sio shwari kbsa. Kweli kuujua undani wa mtu ina gharama. Aje atuombe radhi watz tutamuelewa.
Aombe radhi kwa lipi? Halafu unaposema atuombe radhi watz, kwani yeye siyo mtz? Mbona aligombea na Urais mwaka jana? Au watz ni wanaSISIEM tu?
 
Sijui kwa nini mnapenda kupoteza kuzungusha na kupotezea mambo ya muhimu kwa mambo yasio na tija?
Maswali yalioulizwa na yanayoendelea kuulizwa ni mawili tu;
1. Raisi yuko wapi?
2. Ana hali gani?
Wahusika wajibu haya maswali tusipotezeane muda!
Hajafa kafungua macho alfajirii baada ya kuwa amekata kauli toka tarehe 4/3 ina maana zaidi ya siku kumi kuwa kwenye machine hajitambui, haonekani kuwa timamu ....japo watalazimisha aanze kutoa maagizo ,kwenye nchi inayofuata katiba angehitaji miezi kadhaa ya kuangalia afya yake ....
 
Unajua kwa aliyoyapitia Lissu, kwake tishio la uhai wake au kifo siyo habari tena kwake. Hata ungekuwa wewe umeyapitia yale aliyopitia Lissu utakuwa tena na woga wa kufa?
 
We hujui hicho kiswahili kabisa, angalau hata mimi nina ahueni, nani katukana Bible, kupingana na Bible sio matusi mjomba bali ni upana wa kifikra, haijazaliwa bali imetengenezwa na wazawa wa hii dunia.

Hujasikia mafisadi wakiongezewa masandarusi ya fedha kwenye account zao kutoka kwenye fedha za wanyonge?
Wanaongezewa na nani ndugu yani wao hawahusiki wanajikuta ela hizi hapa? Halafu kusema maandiko mataka fujo sio matusi kweli? Ukimwita binadamu mwenzio mbwa mbona linakuwa tusi? We utakuwa una shida ya kiswahili sio siri kabisa.
 
..mtu analindwa na mamitambo makubwa-makubwa halafu wanashindwa kumnunulia kidumbwana kidogo / pacemaker kuokoa maisha yake.
 
Back
Top Bottom