Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,517
- 8,453
Ishu ni nani wa kukiwasha. UKUTA, Mange Kimambi, remember?Bora kukiwasha tu tuheshimiane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu ni nani wa kukiwasha. UKUTA, Mange Kimambi, remember?Bora kukiwasha tu tuheshimiane
Habari kama hzi muwe mnaweka clip kuliko kuchagua maneno unayopenda watu wayasome...context ni muhimu!Waziri mkuu mstaafu mzee Sumaye ameviasa vyama vya siasa na hasa vya upinzani kuwa na uvumilivu tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu ili kuilinda amani yetu.
Sumaye amewaasa viongozi wa vyama vya siasa kukumbuka kuwa nchi iliyovurugwa na amani kupotea huwa haitawaliki.
Kwahiyo pasipo na amani sote tutavurugikiwa pasipo kujali itikadi na hata hao wapinzani wakishinda wakati amani imetoweka watatawalaje?....ameuliza Sumaye
Mzee Sumaye alikuwa akihojiwa katika kipindi kilichorushwa na Star tv.
Source: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Kwani mnapowanunua upinzani na kuwapa siti wagombee inamaanisha ccm wenye uwezo na akili wameisha?Hapana
Kataa au kubaliana na mimi kwamba kuchukua mtu aliyetemwa kutoka chama tawala kuwa mgombea wenu,unaona imekaa vizuri?
Hapana.Nakupinga damu isimwajike wavumilie tu hamna namna!Hahaha, Yani wapinzani wao ni wa kuvumilia miaka na miaka, acha damu imwagike kwani hata damu ikimwagika haichagui huyu ni mpinzani hivyo hata ya CCM nayo itamwagika tena sana tu
Sent from my SM-J700H using Tapatalk
Ccm si chama cha siasa?Ameviambia vyama vya siasa!
Ni ChamaDola!Ccm si chama cha siasa?
Yesu alimwaga damu yake ili kutukomboa..Hapana.Nakupinga damu isimwajike wavumilie tu hamna namna!
Sio vizuri lakini Unakubali vipi kununuliwa ?Kwani mnapowanunua upinzani na kuwapa siti wagombee inamaanisha ccm wenye uwezo na akili wameisha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuibiwa kuraAmewataka wavumilie nini?
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Waziri mkuu mstaafu mzee Sumaye ameviasa vyama vya siasa na hasa vya upinzani kuwa na uvumilivu tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu ili kuilinda amani yetu.
Sumaye amewaasa viongozi wa vyama vya siasa kukumbuka kuwa nchi iliyovurugwa na amani kupotea huwa haitawaliki.
Kwahiyo pasipo na amani sote tutavurugikiwa pasipo kujali itikadi na hata hao wapinzani wakishinda wakati amani imetoweka watatawalaje?....ameuliza Sumaye
Mzee Sumaye alikuwa akihojiwa katika kipindi kilichorushwa na Star tv.
Source: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Ili hilo liwe usisahau kujiandikisha au kuhuisha taarifa zako kwenye daftari la kudumu la wapigakura. Kinyume na hapo malalamiko hayataisha. Huu ni wakati wa kuhamasishana kujiandikisha ili tukiwagomea maccm tuwe na data sio longolongo za mitandaoni tu
Kwani wewe ulishushwa toka mbinguni huna chembechembe za wazazi? Unadhani kabla ya mfumo wa vyama vingi watu walikua hawafanyi siasa? Na kama walikua wanafanya watitumia chama gani?. Chembe si hija, hoja ni maono na dhamira mpya.Wavumilie muda wao wa kutawala bado maana hawana jipya zaidi ya ku copy na ku paste kutoka chama tawala.
Niambie lini wapinzani walisimamisha mgombea awe rais au ubunge hana chembe chembe za chama tawala?
Wale mlionunua hawakugombe?Makando kando ya kutoka wapi mkuu? Mara nyingi ni ccm kuteuliwa kugombea upinzani(mfano Edo) ila sijawahi kuona upinzani kuteuliwa ccm kugombea
Sijawahi ona mtu ananunua kisicho thamani bila shaka thamani yenu hamko nayo iko kule mnakonunuaSio vizuri lakini Unakubali vipi kununuliwa ?
Angalizo Jema ila Lina chembe za UNAFIKI na U-CHAMADOLA, ukipigania AMANI lazima USIMAMIE HAKI , sasa unaposema vyama vya upinzani una maanisha nini?, kwa nini usiseme vyama vya siasa kiujumla ?, Mpaka uanze kuweka mafungu na wengine kuwasisitiza kwa kumpendelea MBUZIJIKE?, kwani kati ya wapinzani waliozuiwa kufanya Siasa huru kwa kuzingatia mipaka ya kisheria na Huyu mpambana na MABEBERU Aliejipa uhuru yeye na genge lake ni nani MCHAFUZI WA HAKI?, ama hajui kama kuchafuliwa haki ndio chanzo cha kuchafuka AMANI?. HITIMISHO:Waziri mkuu mstaafu mzee Sumaye ameviasa vyama vya siasa na hasa vya upinzani kuwa na uvumilivu tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu ili kuilinda amani yetu.
Sumaye amewaasa viongozi wa vyama vya siasa kukumbuka kuwa nchi iliyovurugwa na amani kupotea huwa haitawaliki.
Kwahiyo pasipo na amani sote tutavurugikiwa pasipo kujali itikadi na hata hao wapinzani wakishinda wakati amani imetoweka watatawalaje?....ameuliza Sumaye
Mzee Sumaye alikuwa akihojiwa katika kipindi kilichorushwa na Star tv.
Source: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Thubutu! Subiri mbutuliwe sie tunawacheki tuuNi zamu ya CCM kuwa wavumilivu, kinyume na hapo damu (ya CCM) itamwagika!
Je wakipewa nchi si ndio watauza kabisa?Sijawahi ona mtu ananunua kisicho thamani bila shaka thamani yenu hamko nayo iko kule mnakonunua
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni walafi wachache, na bora hao wananunuliwa hao wa kutoka ccm kwenda upinzani hujipeleka bure kabisa hawajawahi kulipwa. Ndiyo maana hata mikataba yao ni kugawa bure nchiJe wakipewa nchi si ndio watauza kabisa?