Zjilala
JF-Expert Member
- Jun 17, 2013
- 427
- 416
Suala sio kutoka je hela bado anazo au zishatumika kunengea flyover?Niwapongeze wanaparokia ya Makongo kwa kumpokea tena mzee wetu Rugemalira ambaye alikamatwa mara baada ya maandamano ya Ekaristi takatifu miaka 4 iliyopita...