Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
Babu wa miaka sabini na tano aliamua kuoa binti wa miaka kumi na tano,usiku baada ya ndoa kupita wote wakawa wanalia chumbani,binti analia hajui kitu na babu analia keshasahau kila kitu.Unaona kazi hiyo,wewe ungefanya nini?