Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Rais mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amesema kuwa alipoingia madarakani mwaka 1985, ailikuta hazina ya Tanzania ikiwa haina kitu
Hali hiyo ya ukata ilitokana na Tanzania kutumia fedha nyingi wakati wa vita vya Kagera(Tanzania dhidi ya Uganda) na IFM kuisusia Tanzania baada ya Mwalimu Nyerere kukataa masharti yao
Mwinyi asema aliamua kumfuata Mwalimu Nyerere akamuuliza, afanye nini? Nyerere akamwambia Tanzania ina marafiki kadhaa, ikiwemo nchi ya Zimbabwe na India, nenda kaombe msaada
Hayati Robert Mugabe akawa kiongozi wa kwanza kuisaidia Tanzania