getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,812
Umewahi kujenga??!!!
Unajua thamani ya ardhi ya maeneo zilipo??!!
Dili ya watu wachache ndio iliyumbisha serikali kiasi kile??!!
Kama kuna hoja nyingine iwekwe hii ni ngumu mno kueleweka kwa sasa. . . . . . . .
Kipi kilikua bora? Kuangalia thamani ya ardhi,!? Au kuangalia wizi na ufisadi unaofanywa na watendaji wa idara za serikali ktk ukarabati? Sawa ardhi unasema sehemu yenye thamani ndio iwe sbbu ya kuitia hasara serikali..? No way nyumba za serikali kwa viongozi ziwe nje ya Mji ili mji utanuke atakaye akakae asie taka hiyo ni issue nyingine.