Mzee Mwinyi kuzindua kitabu cha wasifu wa Maisha yake

THOMASS SANKARA

JF-Expert Member
Nov 13, 2014
2,042
4,645
Rais Mstaafu wa Awamu ya pili Alhaj Dr. Ally Hassan Mwinyi maarufu kama Mzee Ruksa anatarajiwa kuzindua kitabu cha Maisha na Nyakati zake mwezi huu Jijini Dar es Salaam.

Katika siku ya kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa tarehe 08/05/2021.

Mzee Ruksa ana mengi sana ya kutueleza kwa kuwa yeye ndio baba wa Demokrasia na Mwanamageuzi mkuu wa mfumo wa uchumi wa nchi yetu.

Tusubiri kwa hamu kukisoma kitabu hiki kwa kuwa kuna mengi ya kujifunza ndani yake.

IMG_20210502_123950.jpeg
IMG_20210502_123936.jpeg
 
Ukifika hko mwambie jiwe kuwa nchi iko salama chini ya uongozi hodari wa mama.
 
Ben alizindua cha kwake; hakuchukua muda,akarejea kwa muumba wake...
Kitabu cha Jiwe kinajulikana.

...Marehemu alisoma seminari akavunja dirisha akafukuzwa, akahama shule, akajitutumua akamaliza diploma ya ualimu wa Kemia.

Akafundisha miaka kadhaa, akaona ualimu haulipi, akaenda kusomea teknolojia maabara akamaliza na kuajiriwa tena.

Baadaye akaona hata maabara hailipi akaingia kwenye siasa. Huko alihangaika sana kabla ya kushinda mwaka 1995 na hivyo marehemu allipambana sana kuwa chawa wa Mkapa ........

Kwa kweli ametesa watu wengi sana
 
Natumaini kitabu hicho kitakuwa na wingi wa busara,miongozo kwa viongozi wa Sasa na hata wa baadae
 
Kitabu cha Jiwe kinajulikana.

Marehemu alisoma seminari akavunja dirisha akafukuzwa, akahama shule, akajitutumua akamaliza diploma ya ualimu wa Kemia...
Na wewe utajiita Una mchango wowote Kwa taifa?
 
Alipozabwa kofi pale Diamond Jubilee nilistaajabu sana kusema yule jamaa asamehewe tu, hivi alisamehewa kweli au...?
 
Back
Top Bottom