Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Kafanya makubwa kwake na familia yake kwa kuipa maisha na sio kwetu tunaosemeshwa namba.Hapa hatuzungumzii juu ya raisi ni nani!!---- Suala lililopo mezani ni; je wakati unaruhusu kubadili katiba ili kukudhi haja ya wakati??-- ni hapo Mzee Mwinyi ndipo alipokuwa anazungumzia kumuhusu Magufuli kuwa amefanya mambo makubwa kiasi kwamba inastahili katiba ibadilishwe ili aendelee kufanya makubwa zaidi. Hayo yalikuwa ni maoni na ushauri wake kama Raisi mstaafu na kama raia, sasa dhambi yake ipo wapi hapo??--- mbona hata wewe unapinga katiba kubadilishwa je na yeye akulaumu kwa kuifanya katiba kuwa ni sheria ya Mungu???, ni sheria ya Mungu tu ndiyo isiyoweza kubadilishwa na mwanadamu.
Sheria ya mwanadamu inabadilishwa na mwanadamu kukidhi haja ya wakati.
Itakuwa.ni ujinga kushikilia sheria zilizopitwa na wakati ilhali zinaweza kurekebishwa kukidhi haja ya wakati huo.
Mimi siungi mkono Magufuli kuongeza muda lakini sikubali Mwinyi alaumiwe kisa kutoa maoni yake.
Hayo makubwa achilia propaganda yamesaidia nini kuboresha maisha ya walipa Kodi zaidi ya njaa na umasikini nchini baada ya kuuwa uchumi.