Mzee Mwinyi: Baba yangu alinipeleka Zanzibar ili nikajifunze dini (Q'uran) ili niwe Sheikh maarufu, nilitokea Mkuranga

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,754
139,559
Mzee Mwinyi anasema baba yake aliyeishi Mkuranga alimpeleka Zanzibar ili akajifunze Dini ya Kiislamu na aweze kuja kuwa Sheikh maarufu.

Mzee Mwinyi anasema akiwa Zanzibar alipata mafunzo ya Quran kutoka kwa mashehe mbalimbali maarufu na kuwa mwanazuoni wa dini ya Kiislamu.

Mzee Mwinyi anasema lakini ndoto ya baba yake ya kumuona anakuwa shehe haikutimia kwa sababu alisombwa na upepo wa kisiasa.

Lakini Mwinyi anasema yeye ni mwanazuoni.

Kazi Iendelee!
 
Pia amesema kwenye kitabu chake kuwa wengine walikuwa wanamtizama kwa jicho la udini,eti KWA kuwa yeye ni Muislam basi alikuwa anateua viongoz wake kwa upendeleo wa kidini, jambo hilo lilimkwaza Sana, Galatians hawajaanza leo chuki za udini,hata mama samia kaa nao KWA tahadhari,wameshaanza na kwako pia
 
Pia amesema kwenye kitabu chake kuwa wengine walikuwa wanamtizama kwa jicho la udini,eti KWA kuwa yeye ni Muislam basi alikuwa anateua viongoz wake kwa upendeleo wa kidini, jambo hilo lilimkwaza Sana, Galatians hawajaanza leo chuki za udini,hata mama samia kaa nao KWA tahadhari,wameshaanza na kwako pia
Lugha uliyotumia hapa imejaa udini. Huwa nawashangaa sana watu mnaotafuta upendeleo wa kidini sijui huwa mnataka nini? Si bora hata upendeleo wa kikabila kwamba ukifaidi mnaboresha kwenu?
 
Mzee Mwinyi anasema baba yake aliyeishi Mkuranga alimpeleka Zanzibar ili akajifunze dini ya kiislamu na aweze kuja kuwa sheikh maarufu.

Mzee Mwinyi anasema akiwa Zanzibar alipata mafunzo ya Quran kutoka kwa mashehe mbalimbali maarufu na kuwa mwanazuoni wa dini ya kiislamu.

Mzee Mwinyi anasema lakini ndoto ya baba yake ya kumuona anakuwa shehe haikutimia kwa sababu alisombwa na upepo wa kisiasa. Lakini Mwinyi anasema yeye ni mwanazuoni.

Kazi Iendelee!
Sasa hapo kazi inaendelea vipi?
 
Mzee Mwinyi anasema baba yake aliyeishi Mkuranga alimpeleka Zanzibar ili akajifunze dini ya kiislamu na aweze kuja kuwa sheikh maarufu.

Mzee Mwinyi anasema akiwa Zanzibar alipata mafunzo ya Quran kutoka kwa mashehe mbalimbali maarufu na kuwa mwanazuoni wa dini ya kiislamu.

Mzee Mwinyi anasema lakini ndoto ya baba yake ya kumuona anakuwa shehe haikutimia kwa sababu alisombwa na upepo wa kisiasa. Lakini Mwinyi anasema yeye ni mwanazuoni.

Kazi Iendelee!
Huyu mzee amezeeka sana, sasa anaonyesha kuanzia kupoteza fahamu anaanza kutoa Siri.
 
Pia amesema kwenye kitabu chake kuwa wengine walikuwa wanamtizama kwa jicho la udini,eti KWA kuwa yeye ni Muislam basi alikuwa anateua viongoz wake kwa upendeleo wa kidini, jambo hilo lilimkwaza Sana, Galatians hawajaanza leo chuki za udini,hata mama samia kaa nao KWA tahadhari,wameshaanza na kwako pia
Gas inatoka haitoki?
 
Lugha uliyotumia hapa imejaa udini. Huwa nawashangaa sana watu mnaotafuta upendeleo wa kidini sijui huwa mnataka nini? Si bora hata upendeleo wa kikabila kwamba ukifaidi mnaboresha kwenu?

Umekaa udini kivip, kwenye kitabu chake mzee mwinyi kasema alikuwa anakwazika kwa kuambiwa alikuwa anateua KWA kuwapendelea waislam kwa kuwa tuh yeye ni Muislam,kwani uongo hajasema??

Na kwani ni uongo kuwa nyinyi Tabia hiyo ya kutoa lawama kama hizo mnayo?hapa juzi hata kwa mama samia si mumeanza pia??kumbe Tabia hiyo mmerithi nyinyi kutoka kwa mababu zenu,na mnataka kurithisha kwa wajukuu zenu,muache Tabia ya hovyo hivyo,had mzee kaandika kwenye kitabu,mbadilikeee
 
Umekaa udini kivip, kwenye kitabu chake mzee mwinyi kasema alikuwa anakwazika kwa kuambiwa alikuwa anateua KWA kuwapendelea waislam kwa kuwa tuh yeye ni Muislam,kwani uongo hajasema??

Na kwani ni uongo kuwa nyinyi Tabia hiyo ya kutoa lawama kama hizo mnayo?hapa juzi hata kwa mama samia si mumeanza pia??kumbe Tabia hiyo mmerithi nyinyi kutoka kwa mababu zenu,na mnataka kurithisha kwa wajukuu zenu,muache Tabia ya hovyo hivyo,had mzee kaandika kwenye kitabu,mbadilikeee
Mimi na huo udini wenu kaeni nao na wala sijawahi kuona faida yake.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom