THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
Tunaangalia idadi ya wasomi kati yenu na sisi😀. Fanya utafiti kidogo uweze kujenga hoja yenye mashiko
Sasa ukiangalia idad ya wasomi let say it's true wagalatia mna wasomi wengi,nini kinawapa hofu pale ambapo hawa wasomi wachache ambao Muslims wakipewa nafasi ya teuzi japo kwa huo huo uchache wao muanze kupiga kelele ya udini udiniii?nyinyi si mna wasomi wengi?hofu yenu ni nin hawa wasomi wachache na wao wakipewa nafas kutumikia Taifa lao??au sadaka itapungua pungua siku za juma pili mkuu...