Mkwaha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2012
- 1,688
- 3,170
Nashukuru mkuu kwa kunijuza 🙏🙏Watu wanaandika matukio Yao ya kila siku,Dairy Zao zimejaa matukio kwahiyo ukifika wakati wakuandika kitabu zinapitiwa tu diary
Nashukuru mkuu kwa kunijuza 🙏🙏Watu wanaandika matukio Yao ya kila siku,Dairy Zao zimejaa matukio kwahiyo ukifika wakati wakuandika kitabu zinapitiwa tu diary
Umeuliza swali zuri sana. Siyo wewe una wasiwasi huo tu, ni wengi... hata mimi. Labda iwe alikuwa ameshaandika siku za nyuma, sasa hivi ni vigumu kukumbuka tukio kama hilo.Huyu mzee kwa umri wake inaonekana ameshaaza kupoteza kumbukumbu, ushahidi wa hili ni kule Chato siku ya kumuaga magufuli pale alipotaka kurudia kuaga mwili mara mbili na akakili kwamba alisahau.
SWALI: Wakati Kitabu Hiki Kinaandaliwa Ilitumika Njia Gani huyu mzee kuweza kukumbuka matukio yaliyotokea zaidi ya miaka 15 nyuma ikiwa tu hata watoto wake ameshaaza kuwasahau?
Nb: nimeuliza ili nipate kujua sina maana zaidi ya hiyo.
Ngumu kumesatena akiwa rais wa nchi,
Maza akoDu! Sasa uongo wake we umejuaje haya hebu tuelezee wewe ukweli ulivyokua na uuze kwa bei ya chini kidogo kuliko bei anayotuuzia Mwinyi
Mpuuzi we hata bure huo ukweli wako hamna atakae utaka mkiitwa wahuni mnakasirika
Kuna baadhi ya wachangiaji wanadai wazee huwa hawasahau matukio ya nyuma hatakama imepita miaka 30Umeuliza swali zuri sana. Siyo wewe una wasiwasi huo tu, ni wengi... hata mimi. Labda iwe alikuwa ameshaandika siku za nyuma, sasa hivi ni vigumu kukumbuka tukio kama hilo.
Kitabu alikuwa amekiandika siku nyingi sema alikuwa anamuhofia Jiwe kukizinduaWatu wanaandika matukio Yao ya kila siku,Dairy Zao zimejaa matukio kwahiyo ukifika wakati wakuandika kitabu zinapitiwa tu diary
Why amuogope magufuli?Kitabu alikuwa amekiandika siku nyingi sema alikuwa anamuhofia Jiwe kukizindua
Kupoteza kumbukumbu hakuchagui hivyo. Nina mashaka hiki kitabu kiliandikwa baada ya kuona Mkapa ameandika, kitu kinachofanya mengi ya yaliyoandikwa huku kuwa yalitokana na simulizi alizokuwa anawasilimulia watu wake wa karibu.Kuna baadhi ya wachangiaji wanadai wazee huwa hawasahau matukio ya nyuma hatakama imepita miaka 30
Ww mataqo akudanganye we kwa sababu ipi!?Huyu mzee naye ni muongo sana.
Sawa mzeeWw mataqo akudanganye we kwa sababu ipi!?
"Maza ako" ndio nini hicho !!! hapo umeniacha mkuuMaza ako
Hazina iliokuwemo kwenye kitabu chake kubwa ni kuthibitisha kuwa Alikuwa rais wa Zanzibari ilhali hakuwa Mzanzibarihazina gani iliyomo humo na huyo mtoto wako atafaidika na lipi kubwa la kumsaidia kwenye maisha yake ,kuna cha Nkapa bado cha vasco ,iwe sasa kazi kusoma vitabu vya maraisi wastaafu ,kwa kubwa lipi ? walilolifanya hata leo ikawa ya pili vitabu vyao vina maana saana ,bora hata kitabu cha Mbutolwe mwana wa Umma.
Rais wa JMT mzungu wala asingejali na hamhusu. Yeye dharau zile tu zilimtoshaYule mkata tiketi asingeamini kama angeambiwa baadae kuwa "yule uliyemkatalia kisa hana nauli itoshayo ndiye Rais wa JMT".
Ama kweli USIONE UKADHANI
Acha matusi wewe Bashite"Maza ako" ndio nini hicho !!! hapo umeniacha mkuu
Watu wa Mahenge sijui kwa nini mnapenda kutumia kilugha chenu kuchangia kwenye forum za majadiliano ya kitaifa
Wenyewe mkisha toka kwenu huko Sigimbi Mashariki mkija mjini basi inakuwaga tabu kweli kweli
Tumia kiswahili cha kawaida au kingereza tukuelewe Brother hizo lugha zingine humu tunakuona boya tu yaani tunakuona kama MKARAMBA unajifunza kuongea
Lugha hizo kawaongelee huko ukirudi kwenu Mahenge ndio watakuona mjanja umetoka mjini na kwamba unajua kuongea kimjini kimjini humu tunakuona NGAGAE mmoja tu usiejielewa
Sawa mkuu. Tuko pamojaKuna comment nilitaka kujibu, wewe uko sawa ila Kuna watu wanalaumu maamuzi ya mfanyakazi wa kituo kisa ni mzungu ndo nikatoa mfano aende mwendokasi na hell pungufu akaombe aone Kama huyo mwafrika mwenzake atamsikiliza.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
haya boss nimeacha!!! KAZI IENDELEEAcha matusi wewe Bashite
Pengine alikata hiyo hiyo ya Darlington na na akashukia Newcastle kwa kuibia. Tushafanya sana mchezo huo utotoni kwetu. Kwa siku hizi inakuww ngumu, Wazungu washatushtukizia watu weusi.Huyu mzee naye ni muongo sana.
Uzinguzi upi wa Kumuongezea pesa wakati hana nauli au wa kumsaidia na kumpeleka alipopotea wakati hata alikuwa haendi huko?
KweliPengine alikata hiyo hiyo ya Darlington na na akashukia Newcastle kwa kuibia. Tushafanya sana mchezo huo utotoni kwetu. Kwa siku hizi inakuww ngumu, Wazungu washatushtukizia watu weusi.
Poahaya boss nimeacha!!! KAZI IENDELEE