Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,463
- 37,711
Yaani haya maigizo yenu ndo liwe janga la kitaifa?Mzee Mwinyi kaeleza jinsi alivyokwazwa na picha yake kutumika katika kipindi hiki. Kwa mara nyingine JMakamba kaonyesha utoto kama aliouonyesha Baba yake.
Familia ya Makamba ni Janga la Kitaifa.