BigBro
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 3,195
- 9,808
Mzee Mwinyi amesema hajafurahishwa na picha aliyotumia January Makamba baada ya kutumbuliwa ikiwaonyesha wanafurahi pamoja.
Amesema hamlaumu mtu ila kwanini atumie picha ile wakati wa maji yamevurugika.
Picha zile ni za kawaida, watu wengi wanakuja hapa kuniona, tunafanya mazungumzo na kuchukua picha za kumbukumbu. Hii picha ni ya zamani, January alikuja hapa akaniomba nimsaidie kuandika Dibaji ya kitabu chake.
Inaonesha kuna tatizo sehemu.
Amesema hamlaumu mtu ila kwanini atumie picha ile wakati wa maji yamevurugika.
Picha zile ni za kawaida, watu wengi wanakuja hapa kuniona, tunafanya mazungumzo na kuchukua picha za kumbukumbu. Hii picha ni ya zamani, January alikuja hapa akaniomba nimsaidie kuandika Dibaji ya kitabu chake.
Inaonesha kuna tatizo sehemu.