Sahihi kabisa, January aliofanya utoto sana
- Mzee Mwinyi ni mwenyekiti wa baraza la Wazee wa CCM, Kitendo cha Janaury kuweka picha ile katika post yake ya kwanza kuelezea kutolewa kwenye nafasi yake ni kujaribu kuimply kwamba Mwenyekiti huyo wa baraza la wazee yuko naye
- Kiukweli January alichemsha
- Mzee Mwinyi ni raisi mstaafu kutumia picha yake kupokea maamuzi ya raisi aliyeko madarakani tena wa chama kilekile ni kujaribu "kumteta" au "kumsimanga" raisi wa sasa kwa raisi wa zamani
Yule kjana alikuwa sahihi kulipiga kibao hili lizee!
zamani lini?Alikwenda kumtembelea kabla ya kutumbuliwa (ni picha ya zamani).
Mwinyi alijiuzulu. Makamba kafukuzwa.Mimi nilitafsiri Kwamba kwakuwa Mwinyi aliwahi kuondoka kwenye uwaziri na Baadae Akaja kuwa raisi wa JMT na yeye Makamba Jr anajifananisha nae akiamini kuondoka kwenye uwaziri Nikufa kwa mbegu Ili iote tena.
Ni kweli lkn kwanin asitumie ya baba ake ...na picha ile ya nguruwe alimaanisha nin
- Mzee Mwinyi ni mwenyekiti wa baraza la Wazee wa CCM, Kitendo cha Janaury kuweka picha ile katika post yake ya kwanza kuelezea kutolewa kwenye nafasi yake ni kujaribu kuimply kwamba Mwenyekiti huyo wa baraza la wazee yuko naye
- Kiukweli January alichemsha
- Mzee Mwinyi ni raisi mstaafu kutumia picha yake kupokea maamuzi ya raisi aliyeko madarakani tena wa chama kilekile ni kujaribu "kumteta" au "kumsimanga" raisi wa sasa kwa raisi wa zamani
Cyo tu apendi apendi kurupushani za jpm ndio maan kaenda kujisalimishaa mapemaMzee Mwinyi yuko sawa. Kwa nini picha ile itumike wakati huu ? Jibu ni moja tu kuonesha kuwa Mzee Mwinyi yuko upande wa J. Makamba.
Mzee kahoji kwa nini picha ya zamani itumike wakati huu mtu akiwa na majanga yake ?
Mzee wa watu hapendi makuu.
Jiwe noma sanaaa....! Anaweza mkatia pensheni mzeee...Cyo tu apendi apendi kurupushani za jpm ndio maan kaenda kujisalimishaa mapema
Wamuongezee umri kwa faida ya nani?! Ikiwa Bibi Sitti Mwinyi umri wake ni zaidi ya miaka 80, kinachokushangaza Mwinyi kuwa 95 ni kipi?! Tafuta historia ya elimu ya Mwinyi, unaambiwa kaanza darasa la kwanza mwaka 1933; sasa unaona haiwezekani mtu aliyeanza darasa la kwanza mwaka 1933 leo kuwa na miaka 95?! Au hata historia yake ya elimu na yenyewe imedanganywa?!! Kaanza kushika nafasi ya uwaziri mwanzoni kabisa mwa miaka ya 70, na hapo alikuwa kishapita sehemu nyingi sana kabla hajafika hapo!!Huyu mzee hafiki hiyo miaka hata kwa kupigwa bakora. Inazidishwa tu hiyo.miaka.sijui kwa nini. Nakup mfano rahisi tu. Tokea Mwinyi aondoke madarakani ni miaka 24 sasa. Jee unataka kuniambia Mwinyi kaacha uraisi wa JMT akiwa na miaka 70? Jee unataka kuniambia Mwinyi kachukuwa uraisi wa Zanzibar akiwa na miaka 59?
Mzee kaona jamaa anatafuta wa kuzama naoo Yani kamkataa balaa sijui kama hajafuta pichaa ileeUbatizo wa moto si mchezo. Ikifika hapo, hakuna cha JK wala BWM; wote hao wanakuruka.
Januari aache ujinga. Asijidai anaijua CCM au ana hisa huko. Yeye na baba yake na Kinana wameshadhihirisha kuwa hawaijui CCM kabisa. Ukishatemwa huko wewe ingia chini ya rada tu. Kijana anataka kumzamisha mzee Mwinyi kirahisirahisi vile. Mzee makini yule; anaijua CCM kikamilifu.