BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,364
- 8,096
Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama ya Wilaya ya Kiteto dhidi ya Charles Lemje mwenye miaka 52, Mkazi wa Kijiji cha Pori Namba Moja mbele ya Hakimu Mosi Sasy.
Mshtakiwa alikumbushwa kosa lake na Mwendesha Mashtaka wa Serikali Willfred Mollel kuwa Septemba 23, 2021, alimbaka mwanae wa kufikia kinyume na kifungu cha 130, kifungu kidogo cha (1) (2) (e) na kifungu cha 131 cha kanuni ya adhabu sura ya 16.
Mshtakiwa aliomba kupunguziwa adhabu kwa madai ya uzee ambapo Hakimu kwa kuzingatia ombi la mshtakiwa na upande wa mashtaka juu ya kukithiri matukio ya ubakaji, alimtia hatiani mtuhumiwa kwa kumpa haki ya rufaa ndani ya siku 30.
Mshtakiwa alikumbushwa kosa lake na Mwendesha Mashtaka wa Serikali Willfred Mollel kuwa Septemba 23, 2021, alimbaka mwanae wa kufikia kinyume na kifungu cha 130, kifungu kidogo cha (1) (2) (e) na kifungu cha 131 cha kanuni ya adhabu sura ya 16.
Mshtakiwa aliomba kupunguziwa adhabu kwa madai ya uzee ambapo Hakimu kwa kuzingatia ombi la mshtakiwa na upande wa mashtaka juu ya kukithiri matukio ya ubakaji, alimtia hatiani mtuhumiwa kwa kumpa haki ya rufaa ndani ya siku 30.