Bado sijaona tatizo kwa CHADEMA kupokea "grant" kutoka kwa Sabodo. Kungekuwa na tatizo endapo Sabodo angekuwa na kashfa za ufisadi zinazojulikana na kuthibitishwa. Hakuna tofauti kati ya CHADEMA kupokea pesa ya mwanachama safi wa CCM na kupokea "kura" ya mwanachama wa CCM, wakati wa uchaguzi, ambaye amechoshwa na performance ya CCM. Hatahivyo nakubaliana na wewe Mkuu kwamba CHADEMA haina budi kuwa makini ... there is often a thin line between moral issues like this one.