Mzee Mpili wa Yanga anatupa funzo kwenye Maisha ya kawaida pamoja na soka

Linguistic

JF-Expert Member
Mar 16, 2021
3,671
8,237
Mzee Mpili ametupa somo kubwa sana, ametufundisha tena, tena kwa vitendo juu ya nguvu na nafasi ya saikolojia. Kwamba hamasa ya kuinua morari, munkari na kujiamini Kwa watu wakiwa katika Hali Fulani ya kukabiliana na Jambo kubwa mbele Yao.

Lakini pia ninachokiona mimi kichochochea kikubwa kwa Yanga kufanya vizuri, ni ule Mkutano Mkuu.

Maazimio ya Mkutano ule uliwafanya Wanayanga wawe wamoja zaidi na wasahau tofauti zao za kimtazamo.

Maana kumbuka kabla ya mkutano tayari kulikuwa na Watu wanasema hakuna kucheza tarehe 03, wapo waliokuwa wanalaumu Uongozo wa Dr. Msola wakisema dhaifu.

Lakini kusomewa taarifa za hesabu na mpango wa Mabadiliko na jinsi Jk ilivyochomekea vibwagizo katika hotuba yake, watu wakasahau ya nyuma na kuwa na msimamo wa pamoja... Hii Ndio Yanga Africa
 
Mie na mpira mbalimblai, ila nakuhakikishia yanga akipoteza mchezo wake dhidi ya simba, ndio utajua kama kweli ni nguvu ya mkutano mkuu au lile goli moja walipata.
 
MZEE Mpili ana Haki ya Kutrend kwenye MEDIAS
kwani anachokifanya kwa Asilimia Mia ni sawa na anachofanya HAJJI MANARA

Kuhamasisha Ushindi kwa timu yake....
Mmesahau Hajji aliwahi kuja na WAR IN DAR?...

Tena Media Makini ingeandaa Press kati ya Mzee Mpili na Hajji siku chache kabla Mpambamo wa KIGOMA
 
Mkutano mkuu wa Yanga una nguvu gani kufanya wachezaji kuperform vile dhidi ya Simba?Sema tu il ni Derby na kawaida ya Derby haina fundi, lolote laweza tokea. Kwa kiasi kikubwa yule kijana Mpili kachangia sana na ndiyo maana serikali imemwajiri rasmi ili afanye yake wamkamate Kigogo.
 
Mkutano mkuu wa Yanga una nguvu gani kufanya wachezaji kuperform vile dhidi ya Simba?Sema tu il ni Derby na kawaida ya Derby haina fundi, lolote laweza tokea. Kwa kiasi kikubwa yule kijana Mpili kachangia sana na ndiyo maana serikali imemwajiri rasmi ili afanye yake wamkamate Kigogo.
Mpili kachangia kipi?
 
Mpili kachangia kipi?
Kuchanganya yale matunguli yake. Ile mechi Yanga hawakuwa vizuri, Simba ndiyo iliyotawala ule mchezo na kutoa mashambulizi ya maana. Goli la Yanga ni goli la kisenge kabisa yaani la kiuchawi....unamfunga mtu bila hata kushambulia, wameshitukizia tu kisha wakabana ili Simba wasisawazishe.
 
Mzee Mpili kawafunika kina Nugaz na Bumbuli wasemaji wa Utopolo,mzee Mpili level yake ghafla inalaribiana na Haji kwenye hamasa.
 
Mzee Mpili ametupa somo kubwa sana, ametufundisha tena, tena kwa vitendo juu ya nguvu na nafasi ya saikolojia. Kwamba hamasa ya kuinua morari, munkari na kujiamini Kwa watu wakiwa katika Hali Fulani ya kukabiliana na Jambo kubwa mbele Yao.

Lakini pia ninachokiona mimi kichochochea kikubwa kwa Yanga kufanya vizuri, ni ule Mkutano Mkuu.

Maazimio ya Mkutano ule uliwafanya Wanayanga wawe wamoja zaidi na wasahau tofauti zao za kimtazamo.

Maana kumbuka kabla ya mkutano tayari kulikuwa na Watu wanasema hakuna kucheza tarehe 03, wapo waliokuwa wanalaumu Uongozo wa Dr. Msola wakisema dhaifu.

Lakini kusomewa taarifa za hesabu na mpango wa Mabadiliko na jinsi Jk ilivyochomekea vibwagizo katika hotuba yake, watu wakasahau ya nyuma na kuwa na msimamo wa pamoja... Hii Ndio Yanga Africa
Unapotaja MZEE MPILI linatakiwa liandikwe kwa herufi mbilii
 
Mzee Mpili ametupa somo kubwa sana, ametufundisha tena, tena kwa vitendo juu ya nguvu na nafasi ya saikolojia. Kwamba hamasa ya kuinua morari, munkari na kujiamini Kwa watu wakiwa katika Hali Fulani ya kukabiliana na Jambo kubwa mbele Yao.

Lakini pia ninachokiona mimi kichochochea kikubwa kwa Yanga kufanya vizuri, ni ule Mkutano Mkuu.

Maazimio ya Mkutano ule uliwafanya Wanayanga wawe wamoja zaidi na wasahau tofauti zao za kimtazamo.

Maana kumbuka kabla ya mkutano tayari kulikuwa na Watu wanasema hakuna kucheza tarehe 03, wapo waliokuwa wanalaumu Uongozo wa Dr. Msola wakisema dhaifu.

Lakini kusomewa taarifa za hesabu na mpango wa Mabadiliko na jinsi Jk ilivyochomekea vibwagizo katika hotuba yake, watu wakasahau ya nyuma na kuwa na msimamo wa pamoja... Hii Ndio Yanga Africa
Kwa wasio na elimu tu ndio wanashughulika nae. JIPIME KIWANGO CHAKO CHA ELIMU
 
Kuchanganya yale matunguli yake. Ile mechi Yanga hawakuwa vizuri, Simba ndiyo iliyotawala ule mchezo na kutoa mashambulizi ya maana. Goli la Yanga ni goli la kisenge kabisa yaani la kiuchawi....unamfunga mtu bila hata kushambulia, wameshitukizia tu kisha wakabana ili Simba wasisawazishe.
Unaongea huku machozi yanakutoka yanga walishoot mara nyingi zaidi golini kwa Simba KULIKO Simba wenyewe
 
Kwa wasio na elimu tu ndio wanashughulika nae. JIPIME KIWANGO CHAKO CHA ELIMU
Mpira unatakiwa kushabikiwa na wasomi pekee? Digrii za Tanzania huwa zinabadili akili ya mtu na kumfanya Mtumwa wa Elimu!!? Kwako ambaye hana level yako ya Elimu ni dhalili? Yaani kushabikia Simba, Yanga au Mbeya city kunahtaji Elimu ya kiwango gani ili tusio nayo tuwaachie nyie mliosoma?
 
Mpira unatakiwa kushabikiwa na wasomi pekee? Digrii za Tanzania huwa zinabadili akili ya mtu na kumfanya Mtumwa wa Elimu!!? Kwako ambaye hana level yako ya Elimu ni dhalili? Yaani kushabikia Simba, Yanga au Mbeya city kunahtaji Elimu ya kiwango gani ili tusio nayo tuwaachie nyie mliosoma?
Huyo ni Mbumbumbu anaethamini vyeti kama Mwakyembe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom