Mzee Mpili Amekubali, Simba na Yanga kupigwa July 03

Kwa yanga mpira ni kamati ya ufundi benchi la ufundi lipo Simba.

Hawa jamaa wanamtegemea huyo mzee wao kwa uchawi wake ndio maana wanasema sana mitandaoni
Kwa kweli tuna safari ndefu sana kwenye maendeleo ya mpira. Najiuliza tu ikitokea Yanga kashinda mechi ijayo wapumbavu wengi wataamini huyu mzee Mpili na wenzake ndio wamesababisha Yanga ishinde na si benchi la ufundi. Na ikitokea Yanga kafungwa itaonekana ni kocha wa Yanga na benchi lake la ufundi ndio wamesababisha wafungwe. Na hao wazee wana mikwara mingi na wanajua kucheza na akili za matajiri wa hivi vilabu vikubwa ili wapate mkate wao wa kila siku. Kelele nyingi sana lakini wakipewa pesa hautakaa uwasikie zaidi ya kuimba mapambio ya kuwasifu wafadhili.

Mpira ni sayansi na si uchawi au mazingaombwe vinginevyo Congo na Nigeria zenye wachawi wengi zingekuwa zinabadilishana kubeba kombe la dunia na hata la afrika.
 
Niliahidi kurudi baada ya Dk 90 za mchezo kuisha,Haya Mikia Mnasemaje?
KIMOJA CHA NGURUWE Simba Hoi
1621780677336.jpg
 
Yanga watayasikiaga maendeleo ya mpira wa miguu kwenye bomba tu!! Wao wakishamfunga simba tu tayari wanajiona wako kwenye kilele cha mafanikio!! Muda huu wako kwenye kusherehekea goli la simba kujifunga hadi mwisho wa mwaka, halafu wanashangaa kutolewa mapema michuano ya kimataifa wakati simba inapeta!!!
 
Kwa hyo huyo ndo mnamuona mkombozi wenu? Yani Uto ni Uto tu. Hamna maana *****
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom