inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 17,961
- 18,218
umeshahama sasa,mwanzo ulisema hatuendi shule,sasa visiwani..visiwani wameanza kufeli lini?Kwanini huko visiwani kunaongoza kwa kufeli.?
umeshahama sasa,mwanzo ulisema hatuendi shule,sasa visiwani..visiwani wameanza kufeli lini?Kwanini huko visiwani kunaongoza kwa kufeli.?
Mazigazi,Naamini Mwalimu Nyerere alikuwa mmoja wa watanzania wenye uwezo mkubwa wa akili
Just imagine kijana kutoka mwitongo,butiama huko mara kaja dar kawapinga kawaperemba ma-alwatan wa mji ,na vibopa wa kariakoo mpaka wakaingia line wenyewe halafu akawapiga chenga ya kiakili
Leo hii tunashuhudia vizazo vya wale ma-alwatan na maswahiba wao wanalala Hadi kesho ilhali muhusika mkuu ashatangulia mbele za haki
Denvers,Hongeraa mkuu. Hope wajukuu wako wanafaidika sana kusimuluwa stori.
Natamani nikuone hata kwa picha siku moja
Denvers,Mimi niko tofauti..natamani sana ningekuwa na babu wa kunisimulia stori za zamani. Nachoka kusoma .
umeshahama sasa,mwanzo ulisema hatuendi shule,sasa visiwani..visiwani wameanza kufeli lini?
Hakuna uhuru unaopiganiwa na kuletwa na mtu 'mmoja'
Denvers,
Ahsante kwa fikra zako.
Kama unaona kuandika historia nilikofanya mimi kusahihisha historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika ni "mahaba" ya "udini,"mimi sina tatizo na hilo kwani yawezekana walioandika historia ya uhuru wakafuta mchango wa wazalendo wengi tu walifanya hivyo kwa kusukumwa na mahaba ya dini yao.
Muhimu na kubwa sana kwangu ni kueleza ule ukweli wa historia yenyewe kama ilivyokuwa.
Nashukuru sana kuwa azma hii nimeitimiza na historia ya uhuru wa Tanganyika sasa inafahamika na inasomeshwa vyuoni Ulaya na Marekani na kwengineko kwa usahihi wake.
Hayo mengine sina haja ya kuyasemea nawaachia wasomaji watumie akili zao kutafakari na kupata majibu.
Hivi mbonai George Washington ambaye ndiye baba wa Taifa USA alikuwa anavuma sana,? mbona yeye alikuwa anavuma na General Nathanael Greene hajulikani kabisa?
It won't be possible.Serikali ilikwisha sema kuwa haina DINI ila kuna dini fulani wanafosi sana waingize udini wao kwenye dola.
Kwani utumwa umekwisha duniani?Kabla ya hilo kundi kudai uhuru watu walikuwa wanafurahia kunyonywa..., Tangia muarabu aanze kuja kuuza ndugu zetu kama watumwa watu walikuwa wananungunika na kugombana kutoka katika hali ya Unyonyaji.., Mjerumani alivyokuja wapo kina Mkwakwa n.k.
Sasa kusema kwamba hilo kundi ndio lilikuwa na wazo la kudai uhuru na Nyerere alikuwa tu pugu anashika chaki.., basi hilo kundi lisingemfuata Nyerere bali lingemfuata jamaa yoyote pale mtaani...,
Kiimani tunaamini mungu ndo muweza wa kila jambo.Acha utani mkuu yaani shule muache nyie kwenda afu useme kuna mkono wa mwalimu..
Kwa mantiki hiyo wamaaanisha nini?Kiimani tunaamini mungu ndo muweza wa kila jambo.
Kidunia kuna watu wanayo Power ya kubadilisha ukweli kuwa Uongo na Uongo kuwa ukweli.
Eg. Msanii mdogo anaweza kutoa nyimbo Kali ikafunikwa na nyimbo mbovu ya msanii Mkubwa (power)
I mean the reality of historical events are being controlled by power.