Usijali wewe endelea tu hivyohivyo,next time labda kutakuwa na hicho kipengele
Itakuwa vizuri kama watatukumbuka na sisi wakulima wa kupanda mnazi kwa mkono mmoja.Wewe utapata tuzo ya CHAPUTA.
Nasikia wanaandaa tamasha lao la tuzo. Watu mnapigia nyeto gundi ya maji.
Hatari
Shida ya huyu mzee nae anachojua ni historia ya waislamu tu..Mohamed said anastahili...kwa sababu ni mkongwe anayeandika sana historia ya nchi.
Sema tori zake huyu babu ni za kusema waislamu walionewaKatika hafla ya utoaji zawadi kwa washindi wa shindano la leo la Stories of Change, lililofanyika usiku wa leo tarehe 15 Oktoba, 2021.
Mwanachama mmoja wa JF alitajwa kuwa ni wa kipekee akionesha uvumilivu, ukomavu na uelewa mkubwa kwenye michango yake ya maoni.
Mzee Mohamed Said ametajwa kukidhi vigezo hivyo.
Tumpongeze mwanachama mwenzetu kwa kutambuliwa kwake na kupewa zawadi kutoka JF
Nami nimejifunza mengi sana kwake
Watu wa aina hiyo wanaweza kupotosha historia yetu na kuwapa sifa wazee waliokuwa wanacheza bao nje ya ofisi za TANUKwani wewe unajua historia za ukoo mwingine kwa deep kuliko ukoo uliotoka?