Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Karibia namaliza kitabu chake kuhusu Abdulwahidi Sykes - nipo ukurasa wa 206 sasa. Kwa kweli kinastahili kumpa Shahada ya Uzamivu ya Historia. Kama bado hajapewa nashauri vyuo vyetu vifanye hivyo haraka tena haraka sana!
PS. Maswali na Majibu kuhusu Kitabu cha Mohamed Said yanaendelea.
CC:
Mohamed Said
gombesugu
Ritz
Wadau;
Japo Uzi huu ni wa siku nyingi naunga mkono hoja yako
[HASHTAG]#Companero[/HASHTAG]
Napatwa na hisia kuwa kuna mmoja ya Wadau wa Enzi zile Jambo forum mpaka kipindi hiki ulipotuma hii post kuwa ni yule Bwana aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha TEKNOHAMA NSSF ambaye alitanguli mbele za haki mwaka kati ya 2013/2014 ni miongoni wa wadau waliokuwa mstari wa mbele kuhakikisha Historia hii ya Wazee wetu ambao hawapo kwenye hii iliyopo vitabuni sasa. Je ni nani?
[HASHTAG]#Mohamed[/HASHTAG] Said