johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,598
- 141,413
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi CCM mzee Mndolwa amesema uongozi ndani ya CCM ni jambo la kujitolea siyo ajira.
Dr Mndolwa amesema viongozi wote wa CCM unaowaona hawakitegemei chama bali wana kazi zao zinazowapatia riziki, amesema hata yeye ilitokea nafasi ya ubunge jimboni kwake hapa juzikati lakini hakugombea kwa sababu ameridhika na nafasi " moja " aliyonayo.
Chadema mna cha kujifunza hapa.
Source Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
Dr Mndolwa amesema viongozi wote wa CCM unaowaona hawakitegemei chama bali wana kazi zao zinazowapatia riziki, amesema hata yeye ilitokea nafasi ya ubunge jimboni kwake hapa juzikati lakini hakugombea kwa sababu ameridhika na nafasi " moja " aliyonayo.
Chadema mna cha kujifunza hapa.
Source Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!