Mzee Mkono akiagwa na Wasomi na Watu wa Kawaida Leaders Club tutaishukuru Familia yake

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Ni ukweli usiopingika kuwa 60% ya wasomi wa miaka ya karibuni walifanikiwa kusoma kwa juhudi za Marehemu Mzee Mkono alipokuwa Mkuu wa Bodi ya Mikopo ambaye binafsi alihakikisha hakuna mtoto wa masikini hasomi na ndiyo maana kuna muda aliweza hata kutoa pesa zake mfukoni ili wanafunzi walipwe na wakasome.

Vile vile kwa wakazi wengi wa kawaida (hasa wa Mkoa wa Dar es Salaam) tutamkumbuka Marehemu Mzee Mkono ambaye alipenda sana kujichanganya na watu wa kawaida (masikini) huku yeye akijijua ni tajiri huku akihakikisha anawasaidia ama kwa kipato (pesa) au kuwatafutia fursa za kitaaluma (elimu) na ajira (kazi).

Moja ya wema wake Marehemu Mzee Mkono alioufanya na MINOCYCLINE kuushuhudia ni pale alipoamua kumjengea nyumba mbili mmoja wa Shamba Boi wake wa muda mrefu aliyewashuhudia hata akina Leah (watoto wa Marehemu wakizaliwa) aitwae Makavu ambaye nasikia kuwa sasa ni marehemu (alishafariki) na kumpa fedha za kuanzisha mradi baada ya kuwa Mzee.

Mkono alikuwa ni Tajiri asiye Mchoyo, Mjivuni na hakuwa na Dharau kama walivyo 90% ya Matajiri wa Kitanzania.

R.I.P Mzee Nimrod Elirehema Mkono.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa 60% ya Wasomi wa miaka ya Karibuni walifanikiwa Kusoma kwa Juhudi za Marehemu Mzee Mkono alipokuwa Mkuu wa Bodi ya Mikopo ambaye Binafsi alihakikisha hakuna Mtoto wa Masikini hasomi na ndiyo maana kuna muda aliweza hata kutoa Pesa zake Mfukoni ili Wanafunzi walipwe na Wakasome.

Vile vile kwa Wakazi Wengi wa Kawaida ( hasa wa Mkoa wa Dar es Salaam ) tutamkumbuka Marehemu Mzee Mkono ambaye alipenda sana Kujichanganya na Watu wa Kawaida ( Masikini ) huku Yeye akijijua ni Tajiri huku akihakikisha anawasaidia ama kwa Kipato ( Pesa ) au kuwatafutia Fursa za Kitaaluma ( Elimu ) na Ajira ( Kazi )

Moja ya Wema wake Marehemu Mzee Mkono alioufanya na MINOCYCLINE Kuushuhudia ni pale alipoamua Kumjengea Nyumba Mbili Mmoja wa Shamba Boi wake wa muda mrefu aliyewashuhudia hata akina Leah ( Watoto wa Marehemu Wakizaliwa) aitwae Makavu ambaye nasikia kuwa sasa ni Marehemu ( alishafariki ) na kumpa Fedha za Kuanzisha Mradi baada ya kuwa Mzee.

Mkono alikuwa ni Tajiri asiye Mchoyo, Mjivuni na hakuwa na Dharau kama walivyo 90% ya Matajiri wa Kitanzania.

R.I.P Mzee Nimrod Elirehema Mkono.
Jamani,mzee mkono kafariki!
 
Wa mikoani picha ndo hatuwekewi?

IMG_1390.jpg

Hapo alikua na obama, ukumbuke alikua raia pia wa marekani
 
Ni ukweli usiopingika kuwa 60% ya Wasomi wa miaka ya Karibuni walifanikiwa Kusoma kwa Juhudi za Marehemu Mzee Mkono alipokuwa Mkuu wa Bodi ya Mikopo ambaye Binafsi alihakikisha hakuna Mtoto wa Masikini hasomi na ndiyo maana kuna muda aliweza hata kutoa Pesa zake Mfukoni ili Wanafunzi walipwe na Wakasome.

Vile vile kwa Wakazi Wengi wa Kawaida ( hasa wa Mkoa wa Dar es Salaam ) tutamkumbuka Marehemu Mzee Mkono ambaye alipenda sana Kujichanganya na Watu wa Kawaida ( Masikini ) huku Yeye akijijua ni Tajiri huku akihakikisha anawasaidia ama kwa Kipato ( Pesa ) au kuwatafutia Fursa za Kitaaluma ( Elimu ) na Ajira ( Kazi )

Moja ya Wema wake Marehemu Mzee Mkono alioufanya na MINOCYCLINE Kuushuhudia ni pale alipoamua Kumjengea Nyumba Mbili Mmoja wa Shamba Boi wake wa muda mrefu aliyewashuhudia hata akina Leah ( Watoto wa Marehemu Wakizaliwa) aitwae Makavu ambaye nasikia kuwa sasa ni Marehemu ( alishafariki ) na kumpa Fedha za Kuanzisha Mradi baada ya kuwa Mzee.

Mkono alikuwa ni Tajiri asiye Mchoyo, Mjivuni na hakuwa na Dharau kama walivyo 90% ya Matajiri wa Kitanzania.

R.I.P Mzee Nimrod Elirehema Mkono.
Mafisadi wote wanatakiwa kuwa kama huyu mtu , sio unaiba hela unaenda kuzificha huko ughaibuni
 
Ni ukweli usiopingika kuwa 60% ya Wasomi wa miaka ya Karibuni walifanikiwa Kusoma kwa Juhudi za Marehemu Mzee Mkono alipokuwa Mkuu wa Bodi ya Mikopo ambaye Binafsi alihakikisha hakuna Mtoto wa Masikini hasomi na ndiyo maana kuna muda aliweza hata kutoa Pesa zake Mfukoni ili Wanafunzi walipwe na Wakasome.

Vile vile kwa Wakazi Wengi wa Kawaida ( hasa wa Mkoa wa Dar es Salaam ) tutamkumbuka Marehemu Mzee Mkono ambaye alipenda sana Kujichanganya na Watu wa Kawaida ( Masikini ) huku Yeye akijijua ni Tajiri huku akihakikisha anawasaidia ama kwa Kipato ( Pesa ) au kuwatafutia Fursa za Kitaaluma ( Elimu ) na Ajira ( Kazi )

Moja ya Wema wake Marehemu Mzee Mkono alioufanya na MINOCYCLINE Kuushuhudia ni pale alipoamua Kumjengea Nyumba Mbili Mmoja wa Shamba Boi wake wa muda mrefu aliyewashuhudia hata akina Leah ( Watoto wa Marehemu Wakizaliwa) aitwae Makavu ambaye nasikia kuwa sasa ni Marehemu ( alishafariki ) na kumpa Fedha za Kuanzisha Mradi baada ya kuwa Mzee.

Mkono alikuwa ni Tajiri asiye Mchoyo, Mjivuni na hakuwa na Dharau kama walivyo 90% ya Matajiri wa Kitanzania.

R.I.P Mzee Nimrod Elirehema Mkono.
Kwanini tusimwagie Taifa?
 
Ana mapungufu yake lakini alijitahidi kuonesha wema kwa wahitaji, kwa hili nampongeza sana.
Hakuna binadamu asie na mapungufu sisi ni wepesi kuona mapungufu ya wenzetu huku ya kwetu tukiona kama ni sawa tuu...pana wahuni waliwahi ulizwa asie na dhambi awe wa kwanza kumpiga jiwe sidhani kama pana mtu aliokota jiwe zaidi ya kukimbia...
 
Ni ukweli usiopingika kuwa 60% ya Wasomi wa miaka ya Karibuni walifanikiwa Kusoma kwa Juhudi za Marehemu Mzee Mkono alipokuwa Mkuu wa Bodi ya Mikopo ambaye Binafsi alihakikisha hakuna Mtoto wa Masikini hasomi na ndiyo maana kuna muda aliweza hata kutoa Pesa zake Mfukoni ili Wanafunzi walipwe na Wakasome.

Vile vile kwa Wakazi Wengi wa Kawaida ( hasa wa Mkoa wa Dar es Salaam ) tutamkumbuka Marehemu Mzee Mkono ambaye alipenda sana Kujichanganya na Watu wa Kawaida ( Masikini ) huku Yeye akijijua ni Tajiri huku akihakikisha anawasaidia ama kwa Kipato ( Pesa ) au kuwatafutia Fursa za Kitaaluma ( Elimu ) na Ajira ( Kazi )

Moja ya Wema wake Marehemu Mzee Mkono alioufanya na MINOCYCLINE Kuushuhudia ni pale alipoamua Kumjengea Nyumba Mbili Mmoja wa Shamba Boi wake wa muda mrefu aliyewashuhudia hata akina Leah ( Watoto wa Marehemu Wakizaliwa) aitwae Makavu ambaye nasikia kuwa sasa ni Marehemu ( alishafariki ) na kumpa Fedha za Kuanzisha Mradi baada ya kuwa Mzee.

Mkono alikuwa ni Tajiri asiye Mchoyo, Mjivuni na hakuwa na Dharau kama walivyo 90% ya Matajiri wa Kitanzania.

R.I.P Mzee Nimrod Elirehema Mkono.
Huyo mwizi anapaswa kufukiwa kama mzoga wa mbwa, hakuna kuaga
 
Back
Top Bottom