Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imethibitika kuwa makatibu wakuu wa ccm ni wapumbavu. Wenyeviti wao wamesalimikaje?1. kudeki lami
2. kudai uhuru katika nchi huru
3.kupigwa viroba
4. kumshangalia mtu waliyemtukana na kumtuhumu miaka 8
5.jina la mgombea kupitishwa bila mchakato wowote wa kichama.
Mzee Mkapa aliangalia mambo mengi sana
mwenyekiti na wabunge wa upinzani ndiyo mafala na wapumbavu hawana wafanyalo hata mawazo ya maendeleo hawanaImethibitika kuwa makatibu wakuu wa ccm ni wapumbavu. Wenyeviti wao wamesalimikaje?
Magomeni quoters pameshakamika kujengwa?mwenyekiti na wabunge wa upinzani ndiyo mafala na wapumbavu hawana wafanyalo hata mawazo ya maendeleo hawana
we unaangalia magorofa leo umeona alivyozindua uwanja wa ndege ? roho zinawaumaaaaaa?Imethibitika kuwa makatibu wakuu wa ccm ni wapumbavu. Wenyeviti wao wamesalimikaje
Taja sambamba na deni la taifa mkuu! Tuwe tunaenda sawa.we unaangalia magorofa leo umeona alivyozindua uwanja wa ndege ? roho zinawaumaaaaaa?
deni la taifa halikwepeki tena letu ni himilivu lakini matokeo si mnayaona? au nikuulize kitu kimoja hivi magu tangu ameingia madarakani hajafanya hata kimoja cha maana hebu niambieTaja sambamba na deni la taifa mkuu! Tuwe tunaenda sawa.